Childish
mzima weye??
me luv u ma bebi.
Wengine tunatamani kutoka sababu hatutajwi tajwi ati. Anayekutaja ujue hata kwenye fikra zake upo. Ilibidi ufurahie mpendwa.
oi Usitake nicheke...!!! Wema Sepe2 akufundishe!!!! Atakukabidhisha kwa Jumbe then Diamond ops Wema hivi Sikuhizi ni Bondia!! mimi naona Bora umtafute Mwingine!!!umeona eeeh! cjui nimtafte wema sepetu animegee maconfidence ya kuhimili misukosuko ya kutajwatajwa lolest!
tena si kutajwa tu,bali kupendwa,tena si kupendwa tu,bal kutongozwa,tena si kutongozwa tu,bali kunifanya nipagawe
we nawe mpanaaaaaaa! hebu lete kiuno chako hm hubby anakungoja, zamu yako leo kukaguliwa! ebo!charminglady, kwa nini wanakutaja taja? Walikutongoza PM ;> ukawakataa nini? Ndo wanakukomoa kwa kukutaja taja?
tupo pouwa! wenzenu badoooooooo tuna machungu ya kufiwa ebo?wa afya tele twamshukuru mola.we huondoki? vp pembe tatu yenu inaendeleaje?
we nawe mpanaaaaaaa! hebu lete kiuno chako hm hubby anakungoja, zamu yako leo kukaguliwa! ebo!
Niko inbox huku napigwa na baridi nikiisubiri PM yako ujue...:hat:nitakuPM nikwambie! anaanzia na 'S' ila usimng'oe macho, msamehe hubby! ngoja aiangalie hiyo nilivyokuwa UD!
Nimecheeeeeeeeeeeka,why should someone take things personaly jf? Mi nshawahi kusema kwangu jf inanipa brain massage,nikiwa jamvini attention yangu ni thread za kunivunja mbavu,period. Kama ni kupasuka kichwa acha biashara zangu zinipasue kichwa nikiingia jf nicheke mpaka mbavu ziume.
By the way darling The secretary hangover inaniua niandalie supu pliz.