B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
ndugu zanguni ma greater thinkers,napenda kuwapongeza kwa kazi yenu nzuri hapaa jamvini.samani kama nitakuwa nime mkwanza mtu au nime weka post sehemu sio ila naamini hapa ni sehemu ya marafiki pia.ndugu zetu,wadogo zetu,dada zetu,mama zetu,baba zetu,watoto wetu,babu na bibi zetu na majirani zetu wa kisomalii,wako katika halii mbayaa sanaaa...bandugu.wanaitaji mchango wetu,naomba kama inawezekana tufanye kitu kuwasaidia hawa ndugu zetu,tufungue account au tutafute makundi yanayo peleka msaada somalia na tutoe kidogo tulicho kuwa nacho,hainaa maana ya pesa tu,tunaweza kutoaa nguo,chakulaa,na hata mchango wako wa shilingi 500 utakuwa umechangia kidogo kuwasaidia watoto wanao kufaa kwa njaa na kiu,wanakulaa mchanga.ili haliii kwako au jirani yako mnakulaa na kusaza na kumwaga chakulaa.ni mawazo tu.