chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,206
- 304
- Thread starter
- #21
Yeyote anaefanya kazi zaidi ya Masaa nane (tisa ikiwa ni pamoja na mda wa mapumziko) Masaa yote baada ya hapo yatakuwa ni Masaa ya ziada na yatalipiwa kama Masaa ya ziadaNimefanya kazi kwa mwaka mzima naingia saa1 asubuh natoka saa 12 au saa2 usiku silipwi Overtime sheria inasemaje?