Kwa yeyote anayesoma Mkwawa University.

Eriglo

Member
Aug 14, 2012
6
0
Ninaomba unisaidiye kujibu yafuatayo:
1. Ikiwa nimepata loan 100% ninatakiwa niende na kiasi gani wakati wa usajili?
2. Je, kuna vyumba vya kupangisha karibu na chuo?
 
me cpo muce ila ni mwenyeji wa pandi hizo nastay iringa town.....kuhusu kiasi cha kwenda nacho kwa upande wako ni michango tu mingine ya chuo ingia kwenye web yao nadhan ipo kama caution money,identity card etc...na kuhusu vyumba vipo vya kutosha karibu na chuo ni wewe tu kuelewana bei na mwenye nyumba na ni vyema kutafuta kabla haujaripoti cz weng muce mna 100% xo kuna uwezekano wa weng wenu kukaa off campus hivyo wenye nyumba wakijua kod yaweza panda.....ni hayo tu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom