Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Jul 10, 2012 #1 Jamaa hapa kawapiga bao wapiga picha wenzake! Yeye anatumia shoe-camera! eep:
Mtanzanika JF-Expert Member Feb 27, 2012 2,389 1,131 Jul 10, 2012 #2 hahah!!jamaaa ametisha!!!! Basi hapo huyo dem anaweza sema "kaka niazime kamera yako nami nijaribie" ...anaona kama mwenzie ndo anafaidi!!!
hahah!!jamaaa ametisha!!!! Basi hapo huyo dem anaweza sema "kaka niazime kamera yako nami nijaribie" ...anaona kama mwenzie ndo anafaidi!!!
manumbu1 JF-Expert Member Jul 4, 2012 713 400 Jul 11, 2012 #4 nenda Bumbuli ukaone wapo wengi hao wenye kamera kama hizo ,uliza Shematagi
Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Jul 11, 2012 Thread starter #5 manumbu1 said: nenda Bumbuli ukaone wapo wengi hao wenye kamera kama hizo ,uliza Shematagi Click to expand... Weka picha zao hata 2 tu wakiwa katika harakati kama hizi... Tuunge mkono hoja yako. :boom::boom:
manumbu1 said: nenda Bumbuli ukaone wapo wengi hao wenye kamera kama hizo ,uliza Shematagi Click to expand... Weka picha zao hata 2 tu wakiwa katika harakati kama hizi... Tuunge mkono hoja yako. :boom::boom: