Toa hiyo laini ya voda kwenye moderm na uiingize kwenye handset yako, nenda kwa msg na hakikisha sim inapesa ya kutosha coz kwa week ilikuwa ni 10000 na kwa mwezi ilikuwa 30000 japo nasikia sasa kwa week ni 15000. So nenda kwa msg kisha andika neno BOMBA7 afu tuma kwa 123 utatumiwa msg kuwa ombi lao linashughulikiwa na baadaye watakuambia uko kwa bandle ya 7days...Toa lain kwa handset kisha irudishe kwa moderm na anza kutumia, hapo uta-download chochote utakacho for seven days unlimited. Kama unataka kwa mwezi ni vile vile ila andika BOMBA30 afu tumama 123...Hope kwa sehemu nitakuwa nimesaidia...
go to www.modermunlock.com kuna washkaji wanafantastic tutorials on how t unlock any modelOk akhsanteni kwa mawazo wakuu lakini jambo lingine bac mnisaidie kuchakachua ili nitumie mitandao yote detail za modem hii ni
vodafone IMEI 359592035647414 S/N 321102980872 MODEL K3570-Z Msaada plz