G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wadau mi nimenunua modem ya voda juzi huwa naweka laini kwenye simu na kuunganisha internet kwa sh 2000 ambayo huwa inawahi kuisha na pia nashidwa kudownload chochote kwani hela inaisha na pia kwenye menyu ya connection kuna sehemu iliyoandikwa call ambayo ina namba kama kwenye simu ila sehemu ya kupiga haipo active. Kwa ufupi naombeni mawazo yenu ili niweze kufurahia hii modem yangu ya voda!