LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Baada ya mapapa wa sisiem kuwarubuni kwa kofia,kanga+ tisheti ya njano na kijani wakazi wa wilaya hii ktk uchaguzi uliopita,Sasa wengi wa wakazi wa wilaya hii inayojulikana leo kama Wilaya Arusha,Hakika nimejaribu kusema na wenyeji wa kijiji cha Mateves na kata ya Kisongo kwa nyakati tofauti.
Hakika hawa wenyeji wameongea kwa machungu sana.
Na wakilaani kura walioipigia sisiem ktk uchaguzi uliopita.
Waliendelea kusema ya kwamba tangu wampe kura hajawahi kuweka mguu ktk kata zao ambao alikuwa hakati mguu akiwalilia wampe kura na sasa hawakumbuki tena.
Wametamani mabadiliko yaje mapema iwezekanavyo,wameendelea kuongea kwa machungu hasa ukizingatia vitu kupanda bei kila kukicha.
Wenyeji hao wameitaka vya vya upinzani wafike huko mapema sana iwezekanavyo.
Angalizo!
Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanyanyuke na wawasalimie wenyeji kama ilivyo ada ya chama makini kwn hakika watu wametaka mabadiliko.
Wenyeji wote wametaka mabadiliko ya kweli!
MABADILIKO NI SASA NA KAMA SI SASA NI SASA HIVI,HAKUNA LISILOWEZEKANA!
Hakika hawa wenyeji wameongea kwa machungu sana.
Na wakilaani kura walioipigia sisiem ktk uchaguzi uliopita.
Waliendelea kusema ya kwamba tangu wampe kura hajawahi kuweka mguu ktk kata zao ambao alikuwa hakati mguu akiwalilia wampe kura na sasa hawakumbuki tena.
Wametamani mabadiliko yaje mapema iwezekanavyo,wameendelea kuongea kwa machungu hasa ukizingatia vitu kupanda bei kila kukicha.
Wenyeji hao wameitaka vya vya upinzani wafike huko mapema sana iwezekanavyo.
Angalizo!
Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanyanyuke na wawasalimie wenyeji kama ilivyo ada ya chama makini kwn hakika watu wametaka mabadiliko.
Wenyeji wote wametaka mabadiliko ya kweli!
MABADILIKO NI SASA NA KAMA SI SASA NI SASA HIVI,HAKUNA LISILOWEZEKANA!