Kwa wenyeji wa Wilaya ya Arumeru Magharibi ni muhimu hili kufanyika haraka!

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
11,348
3,219
Baada ya mapapa wa sisiem kuwarubuni kwa kofia,kanga+ tisheti ya njano na kijani wakazi wa wilaya hii ktk uchaguzi uliopita,Sasa wengi wa wakazi wa wilaya hii inayojulikana leo kama Wilaya Arusha,Hakika nimejaribu kusema na wenyeji wa kijiji cha Mateves na kata ya Kisongo kwa nyakati tofauti.

Hakika hawa wenyeji wameongea kwa machungu sana.
Na wakilaani kura walioipigia sisiem ktk uchaguzi uliopita.
Waliendelea kusema ya kwamba tangu wampe kura hajawahi kuweka mguu ktk kata zao ambao alikuwa hakati mguu akiwalilia wampe kura na sasa hawakumbuki tena.

Wametamani mabadiliko yaje mapema iwezekanavyo,wameendelea kuongea kwa machungu hasa ukizingatia vitu kupanda bei kila kukicha.
Wenyeji hao wameitaka vya vya upinzani wafike huko mapema sana iwezekanavyo.

Angalizo!

Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanyanyuke na wawasalimie wenyeji kama ilivyo ada ya chama makini kwn hakika watu wametaka mabadiliko.

Wenyeji wote wametaka mabadiliko ya kweli!

MABADILIKO NI SASA NA KAMA SI SASA NI SASA HIVI,HAKUNA LISILOWEZEKANA!
 
Baada ya mapapa wa sisiem kuwarubuni kwa kofia,kanga+ tisheti ya njano na kijani wakazi wa wilaya hii ktk uchaguzi uliopita,Sasa wengi wa wakazi wa wilaya hii inayojulikana leo kama Wilaya Arusha,Hakika nimejaribu kusema na wenyeji wa kijiji cha Mateves na kata ya Kisongo kwa nyakati tofauti.

Hakika hawa wenyeji wameongea kwa machungu sana.
Na wakilaani kura walioipigia sisiem ktk uchaguzi uliopita.
Waliendelea kusema ya kwamba tangu wampe kura hajawahi kuweka mguu ktk kata zao ambao alikuwa hakati mguu akiwalilia wampe kura na sasa hawakumbuki tena.

Wametamani mabadiliko yaje mapema iwezekanavyo,wameendelea kuongea kwa machungu hasa ukizingatia vitu kupanda bei kila kukicha.
Wenyeji hao wameitaka vya vya upinzani wafike huko mapema sana iwezekanavyo.

Angalizo!

Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanyanyuke na wawasalimie wenyeji kama ilivyo ada ya chama makini kwn hakika watu wametaka mabadiliko.

Wenyeji wote wametaka mabadiliko ya kweli!

MABADILIKO NI SASA NA KAMA SI SASA NI SASA HIVI,HAKUNA LISILOWEZEKANA!
tanzania ya leo haina wilaya kama hii.go and do your homework
 
tanzania ya leo haina wilaya kama hii.go and do your homework

We unafikiri nimekuja humu jamvini kama ilivyo ID yako? (jingalao) badili ID haraka dogo.
Sipendezwi muda mwingine nikukute jukwaani kwa jina hilo!
 
kweli hlo jingalao wajinga

Kamanda! Humu jamvini kuna watu mizigo cjui wameingiaje humu jamvini,sijui kama ni akili zao.

Hebu ngoja tuwasikilizilie!

Ila hakika hali siyo yenyewe Wilaya ya Arusha kwa jinsi nilivyowaelewa wale wanainchi wa kata zile!
 
Salaam kwenu wakuu\;

Tatizo humu jamvini watu wa leo wamejawa na mipasho, hasira na giliba zisizo na tija! Busara ni pale unapoona mwenzio kakosea rekebishe then endelea na lile la msingi nianze hivi Arumeru kuna Wilaya moja yenye Mkuu wa Wilaya mmoja ila zina Halmashuri mbili zenye Wakurugenzi wawili ambayo ni ile Halmashauri ya Meru na ile ya Arusha Vijijini (hili ni la ufafanuzi)

Lakini la pili ndugu yangu Liverpool hakuna kata ngumu na za ajabu kama Kisongo na Mateves tena wakati ule walisema wanampa muhusika kura kwa kuwa ni mtu wa kwao(Kisongo) akisadiwa sana na Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya husika ambaye naye na wa huko Kisongo. Na ukifuatili vizuri utaona katika kura za maoni muhusika alipata kura nyingi sana kutoka Kisongo na kata jirani ya Musa. Walijawa na undugu na mambo mengine ya ajabu so they might be harvesting their own sin.

Pamoja na rai yako kwa CDM rai hiyo iwe katika misingi ya CDM kuendeleza mitandao yake na si kwa maneno ya hao watu ni afadhali mara mia ukasikiliza watu wa Sambasha ama Bangata ama Sokon II kuliko hizo Kata ulizozitaja...........
 
hakika ukombozi unahitajika! Ndugu zangu wa Kisongo (eneo langu la kujidai na ninalojivunia) mabadiliko yanahitajika!
 
Salaam kwenu wakuu\;

Tatizo humu jamvini watu wa leo wamejawa na mipasho, hasira na giliba zisizo na tija! Busara ni pale unapoona mwenzio kakosea rekebishe then endelea na lile la msingi nianze hivi Arumeru kuna Wilaya moja yenye Mkuu wa Wilaya mmoja ila zina Halmashuri mbili zenye Wakurugenzi wawili ambayo ni ile Halmashauri ya Meru na ile ya Arusha Vijijini (hili ni la ufafanuzi)

Lakini la pili ndugu yangu Liverpool hakuna kata ngumu na za ajabu kama Kisongo na Mateves tena wakati ule walisema wanampa muhusika kura kwa kuwa ni mtu wa kwao(Kisongo) akisadiwa sana na Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya husika ambaye naye na wa huko Kisongo. Na ukifuatili vizuri utaona katika kura za maoni muhusika alipata kura nyingi sana kutoka Kisongo na kata jirani ya Musa. Walijawa na undugu na mambo mengine ya ajabu so they might be harvesting their own sin.

Pamoja na rai yako kwa CDM rai hiyo iwe katika misingi ya CDM kuendeleza mitandao yake na si kwa maneno ya hao watu ni afadhali mara mia ukasikiliza watu wa Sambasha ama Bangata ama Sokon II kuliko hizo Kata ulizozitaja...........

Hakika ktk zile kata kuna mambo ya uenyeji sana ambao umewagharimu kitambo sana!

Na hata hilo nimejaribu kuwauliza nikiwaambia,huyu Mbunge Ole Medeye si mmemchagua wenyewe?
Wakajitetea kwa kuapa na kumlaani kbs huyu MB kwa kuwatenga kbs.

Na mwisho wa yote nikawauliza sasa hv uchaguzi ukifika hatarubuniwa tena na uongozi wa ccm?

Wakanihakiki ya kwmb kamwe hawataki hata kuisikia au acha wafikiwe na uongozi huo wa majambazi.

Kazi kweli kweli!
 
Baada ya mapapa wa sisiem kuwarubuni kwa kofia,kanga+ tisheti ya njano na kijani wakazi wa wilaya hii ktk uchaguzi uliopita,Sasa wengi wa wakazi wa wilaya hii inayojulikana leo kama Wilaya Arusha,Hakika nimejaribu kusema na wenyeji wa kijiji cha Mateves na kata ya Kisongo kwa nyakati tofauti.

Hakika hawa wenyeji wameongea kwa machungu sana.
Na wakilaani kura walioipigia sisiem ktk uchaguzi uliopita.
Waliendelea kusema ya kwamba tangu wampe kura hajawahi kuweka mguu ktk kata zao ambao alikuwa hakati mguu akiwalilia wampe kura na sasa hawakumbuki tena.

Wametamani mabadiliko yaje mapema iwezekanavyo,wameendelea kuongea kwa machungu hasa ukizingatia vitu kupanda bei kila kukicha.
Wenyeji hao wameitaka vya vya upinzani wafike huko mapema sana iwezekanavyo.

Angalizo!

Chama cha Demokrasia na Maendeleo wanyanyuke na wawasalimie wenyeji kama ilivyo ada ya chama makini kwn hakika watu wametaka mabadiliko.

Wenyeji wote wametaka mabadiliko ya kweli!

MABADILIKO NI SASA NA KAMA SI SASA NI SASA HIVI,HAKUNA LISILOWEZEKANA!

Mwaka 2010 watu tulizawadiwa t-shirts, kofia, binafsi nilitoka na zaidi ya kilo mbili na kura zilienda kwa Lema. Usijali kamanda wananchi pokeeni kodi zenu kura kwa Joshua.
 
Salaam kwenu wakuu\;

Tatizo humu jamvini watu wa leo wamejawa na mipasho, hasira na giliba zisizo na tija! Busara ni pale unapoona mwenzio kakosea rekebishe then endelea na lile la msingi nianze hivi Arumeru kuna Wilaya moja yenye Mkuu wa Wilaya mmoja ila zina Halmashuri mbili zenye Wakurugenzi wawili ambayo ni ile Halmashauri ya Meru na ile ya Arusha Vijijini (hili ni la ufafanuzi)

Lakini la pili ndugu yangu Liverpool hakuna kata ngumu na za ajabu kama Kisongo na Mateves tena wakati ule walisema wanampa muhusika kura kwa kuwa ni mtu wa kwao(Kisongo) akisadiwa sana na Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya husika ambaye naye na wa huko Kisongo. Na ukifuatili vizuri utaona katika kura za maoni muhusika alipata kura nyingi sana kutoka Kisongo na kata jirani ya Musa. Walijawa na undugu na mambo mengine ya ajabu so they might be harvesting their own sin.

Pamoja na rai yako kwa CDM rai hiyo iwe katika misingi ya CDM kuendeleza mitandao yake na si kwa maneno ya hao watu ni afadhali mara mia ukasikiliza watu wa Sambasha ama Bangata ama Sokon II kuliko hizo Kata ulizozitaja...........
Ni kweli kata za sokon II ambayo tayari wana diwani wa CDM inafaa kunzia kuwasha moto pia kata ya Bangata nao vijana wana muamko mno; kata za Kisongo, Mateves, Musa na zingine zinakaliwa na Waarusha wenye misimamo na watu wa kwao hivyo kupiga kambi kuwaelimisha ni jambo la busara na faida kwa upinzani.
NAWASILISHA
 
Ni kweli kata za sokon II ambayo tayari wana diwani wa CDM inafaa kunzia kuwasha moto pia kata ya Bangata nao vijana wana muamko mno; kata za Kisongo, Mateves, Musa na zingine zinakaliwa na Waarusha wenye misimamo na watu wa kwao hivyo kupiga kambi kuwaelimisha ni jambo la busara na faida kwa upinzani.
NAWASILISHA

Kweli Kamanda! Tena inahitajika mwamuko wa haraka sana!

Na sijui itakuwaje maana yule mbunge wa CDM ktk uchaguzi uliopita alirubuniwa na magamba na mpk sasa hatuna mbunge.

Ni CDM kujipanga upya!
 
Ni saa ya ukombozi halisi wa mtanzania wote tupaze sauti zetu kwa pamoja kuikataa ccm na kuchagua CDM tumaini jipya la watz
 
Back
Top Bottom