Wadau,,,tupo kwenye mchakato wa mwisho mwisho wa kuanzisha N.G.O,ambapo kwa sasa tunasubiria green light toka ofisi ya msajiri wa vyama vya hiyari(toka wizara ya mambo ya NDANI),namaanisha kupewa cheti cha USAJILI WA N.G.O
Lakini tunakabiliwa na changamoto moja,hasa ya funding resources na pia uandikaj wa attractive grants,tunaomba kwa wadau mlipo hapa wale wenye skills na information kuhusu grants,tunachohitaji ni information za funding resources(grants providers),na pia kama inawezekana tunaomba ututumie hata soft copy ya grant proposal,maana kila chenye mwanzo kina UGUMU WAKE.
Asasi yetu itajikita katika utoaji wa elim kwa wanafunz wa primary na secondary juu ya athari za matumiz ya MADAWA YA KULEVYA,pamoja na masuala mengineyo,hii itakuwa maeneo ya rural na urban.
Kwa mwenye lolote naomba atutupie kupitia
Barua pepe:bajabiri@gmail.com
Lakini tunakabiliwa na changamoto moja,hasa ya funding resources na pia uandikaj wa attractive grants,tunaomba kwa wadau mlipo hapa wale wenye skills na information kuhusu grants,tunachohitaji ni information za funding resources(grants providers),na pia kama inawezekana tunaomba ututumie hata soft copy ya grant proposal,maana kila chenye mwanzo kina UGUMU WAKE.
Asasi yetu itajikita katika utoaji wa elim kwa wanafunz wa primary na secondary juu ya athari za matumiz ya MADAWA YA KULEVYA,pamoja na masuala mengineyo,hii itakuwa maeneo ya rural na urban.
Kwa mwenye lolote naomba atutupie kupitia
Barua pepe:bajabiri@gmail.com