Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 34
Hahaha!!! Obuntu hivi Unguja unaweza kukuta stock kama hivyo kweli
Yeah - Hii Pub ipo next to na Africa House - Hii Kaunta ipo ghorofa ya tatu ya hiyo Pub!
Tot moja ya Gin pale ni buku 5!
Hahaha!!! Obuntu hivi Unguja unaweza kukuta stock kama hivyo kweli
lol....Safari umenikumbusha jamaa mmoja akienda baa anaomba na glasi nyingine kwa ajili ya kuweka vizibo ili wahudumu wasije wakampiga kwenye bili
Vitu vya ukweli,ukianza navyo Ijumaa mpaka J2 jioni kichwa inakuwa imezibuka mbaya.
Obuntu hapo lazima unywe kwa adabu zoteYeah - Hii Pub ipo next to na Africa House - Hii Kaunta ipo ghorofa ya tatu ya hiyo Pub!
Tot moja ya Gin pale ni buku 5!
Haya madude bana yanaweza kukulaza siku mbili bila kulaVitu vya ukweli,ukianza navyo Ijumaa mpaka J2 jioni kichwa inakuwa imezibuka mbaya.
Hahaha!! Au ulipiga cocktail ya Safari na SavannahNami niko hivohivo ila jana walinipiga......walitia kizibo cha SAVANA kwenye hiyo glass bila miye kuona....tatizo tulikuwa maneni tu sasa sijui hiyo SAVANNAH kanywa nani
Hahaha!! Au ulipiga cocktail ya Safari na Savannah
Hahahaha!!! Mbu haya banaa...lol...you want some scotch
.....lol....the finest bana, pamoja na ku blurr sura yako, namuona nanihii hapo kwenye cctv...lol!
Hahahaha!!! Mbu haya banaa...lol...you want some scotch
Kwani mamaa imekuletea shida kidogo!Jamani hii picha mbona umepost muda bado???
Khaaa...aisee mkuu you have sharp eyes lol...pamoja na kunotice vizuri nilikuwa sijagundua kama Spirit of The Nation haipo
...konyagi bana...ila naona out of stock hapo...
Tayari atakuwa ameishaenda counter ya juu huyoKwani mamaa imekuletea shida kidogo!
Khaaa...aisee mkuu you have sharp eyes lol...pamoja na kunotice vizuri nilikuwa sijagundua kama Spirit of The Nation haipo
Na kichwa iwe vizuri,vinginevyo...?Haya madude bana yanaweza kukulaza siku mbili bila kula
Your right man kwa jinsi kauli yake ilivyokuwa ya kinyonge bila shaka ameukataa unyonge kwa kwenda kukata kiu.Tayari atakuwa ameishaenda counter ya juu huyo
Kwa wale waliozea kupiga tarumbeta kwenye Bia hapo ukipiga tarumbeta lazima utundikwe dripuNa kichwa iwe vizuri,vinginevyo...?
Kwani mamaa imekuletea shida kidogo!
Tayari atakuwa ameishaenda counter ya juu huyo