Ninatakiwa nimpake?Ijaribu inasaidia sana
Sawa nashukuru sanaNdio penye paji la uso, viganjani na kwenye nyayo
SawaUnaweza kujaribu hata sasa
Kuna sababu za vyakula na kujaa gesiNaomba kufahamu uhusiano wa mtoto kuumwa tumbo na kulia sana nyakati za usiku... Kwani hilo tumbo huwa linajua kuwa saiv ni usiku ndiposa linauma???
Lizzy, King'asti, Evelyn Salt mukujeee
Yeye ndo kafanya uitwe baba, kakuletea mtoto bila shaka ni furaha Kwako afu sahivi unakuja kuongea shombo juu yake, miezi miwili huyo bado ni mzazi shape yake haijarudi katika hali yakeNini chanzo cha msichana anapozaa kuharibika umbo na sura?
Mimi nimezaa na msichana wangu na analea kwao kwao hakosi kitu na mimi najikaza nampa pesa ya matumiz lkn amechakaa sana anamiez miwili toka ajifungue yaan sura yake yote ipo kwa mwanangu Millen_happy
Nilikuwa na mipango tuish wote ila Sasa ni shingo upande
Bila shaka mshana amekujibu hapo, mzima mamyNaomba kufahamu uhusiano wa mtoto kuumwa tumbo na kulia sana nyakati za usiku... Kwani hilo tumbo huwa linajua kuwa saiv ni usiku ndiposa linauma???
Lizzy, King'asti, Evelyn Salt mukujeee
Vijana hawa, hawajui mwanamke kujifungua (kutoa kiumbe nje toka tumboni) kunaathiri vipi mwili wa mwanamke!!!Yeye ndo kafanya uitwe baba, kakuletea mtoto bila shaka ni furaha Kwako afu sahivi unakuja kuongea shombo juu yake, miezi miwili huyo bado ni mzazi shape yake haijarudi katika hali yake
Usamehewe bure.... Bora wali maharage kuliko wewe
Mbali na ujana, ni ujinga pia.....Vijana hawa, hawajui mwanamke kujifungua (kutoa kiumbe nje toka tumboni) kunaathiri vipi mwili wa mwanamke!!!
Aoe msichana ambaye hatazaa na vilevile hatazeeka!!Mbali na ujana, ni ujinga pia.....
Yeye ndo kafanya uitwe baba, kakuletea mtoto bila shaka ni furaha Kwako afu sahivi unakuja kuongea shombo juu yake, miezi miwili huyo bado ni mzazi shape yake haijarudi katika hali yake
Usamehewe bure.... Bora wali maharage kuliko wewe
Bila shaka mshana amekujibu hapo, mzima mamy