Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Hii ya kitunguu saumu naomba unisaidie maana mwanangu anashtuka mara kwa mara
 
Pia niwaonye mnaolisha watoto machipsi mayai mara mabiscut so mazuri kwa watoto, wangu ana miez 7 lakini nakula nae nguna mezan
 
Nini chanzo cha msichana anapozaa kuharibika umbo na sura?

Mimi nimezaa na msichana wangu na analea kwao kwao hakosi kitu na mimi najikaza nampa pesa ya matumiz lkn amechakaa sana anamiez miwili toka ajifungue yaan sura yake yote ipo kwa mwanangu Millen_happy
Nilikuwa na mipango tuish wote ila Sasa ni shingo upande
 
Nini chanzo cha msichana anapozaa kuharibika umbo na sura?

Mimi nimezaa na msichana wangu na analea kwao kwao hakosi kitu na mimi najikaza nampa pesa ya matumiz lkn amechakaa sana anamiez miwili toka ajifungue yaan sura yake yote ipo kwa mwanangu Millen_happy
Nilikuwa na mipango tuish wote ila Sasa ni shingo upande
Yeye ndo kafanya uitwe baba, kakuletea mtoto bila shaka ni furaha Kwako afu sahivi unakuja kuongea shombo juu yake, miezi miwili huyo bado ni mzazi shape yake haijarudi katika hali yake
Usamehewe bure.... Bora wali maharage kuliko wewe
 
Yeye ndo kafanya uitwe baba, kakuletea mtoto bila shaka ni furaha Kwako afu sahivi unakuja kuongea shombo juu yake, miezi miwili huyo bado ni mzazi shape yake haijarudi katika hali yake
Usamehewe bure.... Bora wali maharage kuliko wewe
Vijana hawa, hawajui mwanamke kujifungua (kutoa kiumbe nje toka tumboni) kunaathiri vipi mwili wa mwanamke!!!
 
Yeye ndo kafanya uitwe baba, kakuletea mtoto bila shaka ni furaha Kwako afu sahivi unakuja kuongea shombo juu yake, miezi miwili huyo bado ni mzazi shape yake haijarudi katika hali yake
Usamehewe bure.... Bora wali maharage kuliko wewe

Amuache amalize 6months , kama hajapata kidume cha mbegu zaidi yake..
 
Back
Top Bottom