Yapata mwezi mmoja tangu tusikie juu ya uvumi wa gawio la bonus lakini haiko wazi na inasemekana tutaichukulia bank. Jee hii ni kwa hifadhi zote au wengine watachukulia dirishani? Na ni kwa nini kumekuwa na ucheleweshaji wa namna hii? MKURUNGENZI anajua kama watumishi wamekata tamaa ya maisha?