Mosachaoghoko
Senior Member
- Apr 19, 2011
- 137
- 10
Tunabaguliwa natunabaguana jaribu kuangalia mabango ambayo yapo kwenye mpaka wa Mara/mwanza sasa Simiyu BANGO la Kutokea Mara kuingia Mwanza linasomeka hivi; KARIBU MKOA WA MWANZA na kisha angalia bango la kutokea mwanza kuingia Mara linasomeka hivi ; SASA UNAINGIA MKOA WA MARA as if kuna tahadhari unatakiwa kuwa nayo unapokuwa mara huu ni ubaguzi mkubwa sana tunaofanyiwa wana mara wote uwe mwana siasa ama not unabaguliwa hivyo