Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Mura, Obambiri mahene mura. Tugegehiri. Bonse tuberi kya barisya!
Mkoa una mkuu wa JKT ambaye ni mzanaki, una Katibu wa Chama Cha Magamba, una Mwanasheria Mkuu (Werema) na Naibu Mwanasheria Mkuu (Masaju); hawa wote hakuna kitu! Una majenertali Kiaro, Waitara, na Musuguri; lakini mambo mabaya kabisa. Wengine ongezeni jamani!
Bila kumsahau Lieutenant General Mwana Mtoka Pabaya wa Wilaya ya Serengeti, Tarafa ya Ngoreme, Kata ya Kisaka, Kijiji cha Nyibhoko.
Ujasiri wetu uliishia katika kuwasaidia WAHAYA wasiendelee kuolewa na Iddi Amini Dadaa