mitishamba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 697
- 111
- Thread starter
- #21
sanya juuWe kwenu wapi?
sanya juuWe kwenu wapi?
una uhakika?Kaka/dada ngoma si yako uivalie kibwebwe ya nini? Nipo kwenye basi naenda moshi sasahv!
Kweli ni mazoea mkuu. Hata watu wa Mara husema. ''naenda Musoma''.
Unauliza jibu?
Huyu jamaa kwa thread za Wachagga humuwezi. Sijui kuna dada yetu aliyemuibia mume au kaka aliyemuibia mke. . . ?
sanya juu
sanya juu
Kilimanjaro ni mkoa na Moshi ni wilaya... Mie naona watu wamezoea tu kusema naenda moshi ila haina maana kuwa jina lingine la kilimanjaro ni moshi!... Hai, rombo, same nk zote ni wilaya zilizoko Kilimanjaro, huko sio Moshi!si unaona? ndo mana nikauliza au jina lingine la kilimanjaro ni moshi?
Acha uzushi wewe. . .
Huwezi kua mtu wa S/Juu wewe. . . na kama ni kweli kwanzia leo najitoa huko.
kwani wafanyakazi wa mashamba ya ngano siyo watu?Sio ajabu wengi ni watu wa nyanda za juu kusini walikuwa kwenye mashamba ya ngano kule west kilimanjaro!
walau wewe umenena.Kilimanjaro ni mkoa na Moshi ni wilaya... Mie naona watu wamezoea tu kusema naenda moshi ila haina maana kuwa jina lingine la kilimanjaro ni moshi!... Hai, rombo, same nk zote ni wilaya zilizoko Kilimanjaro, huko sio Moshi!
ha! siamini!
kumbe wewe dada yangu!
hebu twende chemba basi!
Hivi West wanalima ngano pia? Mi nilijua ni viazi na carrot!!Sio ajabu wengi ni watu wa nyanda za juu kusini walikuwa kwenye mashamba ya ngano kule west kilimanjaro!
Hivi West wanalima ngano pia? Mi nilijua ni viazi na carrot!!
kwani wafanyakazi wa mashamba ya ngano siyo watu?
mnapenda sana kudharau kazi za watu. na hiyo ndo shida yenu.
mnapenda kujifanya mko juu.
kwani wachaga wote ni matajiri.
kwenu hakuna maskini.
acheni hizooooo
Pale wanalima ngano sana. Tanzania Brewaries wana mashamba pale balaa. Kuna shamba la mzungu mmoja lina mpaka air strip Lizzy
Hata anayekwenda Hai, Same, Mwanga, Siha, Rombo...bado atakwambia anaenda moshi. ina maana jina lingine la mkoa wa kilimanjaro ni moshi? hapana. Halafu mbona kuna umbali mkubwa kati ya moshi na maeneo hayo mengine hapo juu.
Tafadhali taja jina halisi la mahali unakokwenda.
Vilevile hakuna wachaga bali kuna warombo, wasiha, wamachame, wakibosho n.k.
nipo napata brekfasti ya mchana.
Niambie kwanza Sanya kipande ipi. . .usikute ni wa Magadini au Kirisha!!!
coz dis isnt coment of urs.this is too low for me to reveal my comment.
Hivi session ya jioni ya Bunge haioneshwi Star Tv?
hahahha, we lizi wewe!