Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,333
- 3,896
Kwa wateja wa highlife, kwanini siku hizi sifanikiwi kuunganishwa na huduma hiyo ya internet, kila nnapojiunga naambiwa line yangu ya simu haijatumia shilingi 5,000. Customer care wananiambia system zao ziko slow kunitambua (ndio basi?). Najiuliza sijui kwa wateja wengine hali ikoje ni wiki ya tatu sasa?