Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Mara nyingi nimemsikia Rais wetu JK akisisitiza na kuwataka Wa Tanzania wanaoishi Nje ya Nchi waje kuwekeza Nyumbani, na hata anaposafiri nje ya nchi huwa anawaambia Wa Tz walio nje ya nchi waje kuwekeza Nyumbani...Ninanukuu kauli yake:"Nakuombeni sana msisahau nyumbani, mje kuwekeza... na mkumbuke nyumbani ni nyumbani...."
Sasa Swali langu ni kuwa hivi hawa Wa TZ walio nje ya nchi wana fedha nyingi sana?
Na swali la Pili Kwa WA TZ mlio nje ya Nchi, mnauitikiaje wito wa Rais wetu kipenzi cha wengi.....
Sasa Swali langu ni kuwa hivi hawa Wa TZ walio nje ya nchi wana fedha nyingi sana?
Na swali la Pili Kwa WA TZ mlio nje ya Nchi, mnauitikiaje wito wa Rais wetu kipenzi cha wengi.....