BinMgen
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 1,854
- 262
!shida yote ya nini kaka. Weka LNB 1 na KU 2 unadaka zote za uarabuni west kama Nollywood nigeria na za south zote,za bongo zote ambazo ziko kweye sate. Mi nakamata station 102. Plus radio 123 za ndani na nje. N sometimes napata ss3,ignation ss2 but huwa zinakuja na kupotea
weka shule basi mkuu,satellite gani. direction, freq na symbol hapo ndio utakuwa umetoa mchango wa maana