Kwa wataalamu wa magari

Pengo

JF-Expert Member
Oct 15, 2009
579
10
Kuna jamaa yangu ameniomba nimtafutie ushauri wa msaada kwani ana gari yake Toyota Liteace Noah 1998cc,wakati anainunua mwaka jana ilikuwa inakula lita moja ya petrol kwa kilomita 9,sasa hivi inachoma lita moja kwa kilomita 7.Sasa anaomba ushauri kipi kimesababisha mabadiliko hayo na ikiwezekana afanye marekebisho gani ili iweze kula mafuta kama awali.Jamani mpeni msaada huyu jamaa kwani gari bado anaipenda sana.
 
Kuna jamaa yangu ameniomba nimtafutie ushauri wa msaada kwani ana gari yake Toyota Liteace Noah 1998cc,wakati anainunua mwaka jana ilikuwa inakula lita moja ya petrol kwa kilomita 9,sasa hivi inachoma lita moja kwa kilomita 7.Sasa anaomba ushauri kipi kimesababisha mabadiliko hayo na ikiwezekana afanye marekebisho gani ili iweze kula mafuta kama awali.Jamani mpeni msaada huyu jamaa kwani gari bado anaipenda sana.

kwanza kabisa,hio 1L/9km kaisoma kwenye specification za gari au ka-prove yeye mwenyewe??kama ni spec za gari basi asishangae in real world/practical gari ikawa inampa 1L/7km....sababu ya hii ni kuwa wakati kiwandani wana-calculate hio fuel consumption wanafanya kwenye condition ambazo ni ngumu sana kupata in real world ndio maana ni ngumu sana gari ku-perform kama spec zinavyosema matumizi yetu ya kawaida mitaa.
kingine kama hio 1L/9km alihakikisha mwenyewe hapo nyuma kuna vitu vingi vinaweza kuchangia kuongeza fuel consumption mfano:
1.service-usipofanya service on time na properly eg changing plugs,fuel filter etc
2.mafuta machafu au aina ya mafuta unayotumia unleaded/super unleaded etc
3.driving style-speeding over 100km/hr,au high rev. driving
4.air con
5.kubeba mizigo/abiria wengi kwenye gari
 
asiakte tamaa bad mpya hilo hata mimi nilinunua d4 baada e ikaanza kuniumiza nikabadilisha engine na kuweka 3s ambayo ndio NOAH inatumia nilichofanya nikufanyia repair za ile engine chomoa baadhi kama ulivyoandika tatizo kubwa magari ya japan yanaendana na weather ya sehemu so usikute hilo hilo ukilipeleka kama arusha kwenye baridi ukarudi kutumia km 12 so cha maana fanyia ukarabai baadhi ya vitu kama ulivyoelekezwa hapo juu usidanganywe na mafundi wa uchochoroni
 
One of the problems caused by aldultered fuels is that injector nozzles tend to expand and therefore fail to allow fuel to pass in droplets as it was designed. With the fuel problems we have, that could be one cause of the increase in fuel consumption.
However, the kind of lubricants that you use during service have also had an impact in the fuel consumptions for these morden cars. Because of the strigent environmental requirements, the amount of combustions by products are limited in most cases by recycling the soot from the exhaust so that even the remaining small unburnt fuels could be burned. However, by recycling the soot the amount of temperature in the engine is also increased. If owner use lubricants of low performance grade, the lubricant would fail to perform proper work of lubrication. Without proper lubrication, alot of energy is lost in form of heat due to friction. Therefore more fuel would be burned to enable the engine to cover less distance as it was expected.
Lubrication is very key in enabling the engines to have the designed performance.
 
Thanks all for your contributions,i will present to the owner and hopely will be utilized.
God bless jf.
 
Fanya tuneup
a) badirisha sparks plugs
b) badirisha sparks plugs wire
c) change air filter & Fuel filter
Kama kuna MIL kwenye Dashboard, tafuta code yake angalia kama ina uhusiano wowote na fuel consumption eg. oxygen sensor nk.
 
Back
Top Bottom