kumbuka hd ni pixel milioni moja au lugha nyengine ni megapixel moja, kuna source mbali mbali na reserach mbalimbali wengine wanasema jicho lina pixel milioni 576 hivyo jicho ni mara 576 ya hio camerakwahiyo hii camera ni zaidi ya macho ya binadamu mara3 yake
hio camera inaitwa blackmagic, tumia google search by image utajuaKWA UPANDE WANGU : hyo n HD camera hasa S0NY AU CANNON huwa zinachukua m0vie au film hla n expensive kumilik
Maelezo yako always ni perfect.hio camera inaitwa blackmagic, tumia google search by image utajua
-ingia google.com
-click image
-kwenye alama ya search nyuma yake peleka mouse alama ya camera itatokea click halafu chagua search by url
-open new tab njoo hii thread halafu view picha ya huyo jamaa halafu copy url yake
-paste hio url pale kwenye search by image google.
utaona picha hio imetumika wapi na wapi, jina lake, inapouzwa etc
niliona jicho lina megapix 300 na ushee mahalandio coz jicho lina abt 76px en kuna camera zina toboa 200px
niliona jicho lina megapix 300 na ushee mahala
yesmay b sna uhakika sana dhat is wat i knew pind npo A-lavel but iz camera znacho zidi jicho n kwamba jicho lina punguza qualiti ya kuona kitu kuonekana clear as kitu kinapo songea mbali FT kadhaa na site but camera zina weza kuvuta kitu kionekane clear as kitu kinapo kua mbal na kikaonekana clear kinapo kuwa mbal so zina lenc zenye power kubwaaa sana
POA POA KIJANAhio camera inaitwa blackmagic, tumia google search by image utajua
-ingia google.com
-click image
-kwenye alama ya search nyuma yake peleka mouse alama ya camera itatokea click halafu chagua search by url
-open new tab njoo hii thread halafu view picha ya huyo jamaa halafu copy url yake
-paste hio url pale kwenye search by image google.
utaona picha hio imetumika wapi na wapi, jina lake, inapouzwa etc
ASANTEKwenye kupiga film zinapata hadi zawadi za kimataifa kama Oscar, Canon hutumika Lens zake tu. Kwa Lens Canon hashikiki.
Ila inavyokuja kwenye Camera za FILM, basi Canon na SONY ni Watoto wadogo. Hata RED kuna kaka zake.
Ona hii Camera chini. Yaani hapo una Kichwa tu. Ili ipate macho, mikono, miguu, tumbo nk.... zitakutoka zaidi ya $10,000.
WEAPON BRAIN WITH HELIUM 8K S35 SENSOR - $49,500.00
zipo za kisasa zaidi ya hio TanzaniaHii kamera ukileta Tanzania lazima ukamatwe, inaonekana ni ya anasa sana.
zipo za kisasa zaidi ya hio TanzaniaHii kamera ukileta Tanzania lazima ukamatwe, inaonekana ni ya anasa sana.
mkuu huwezi nunua camera kwa kuangalia jina, angalia matumizi yako halafu andaa budget then kutokana na budget ndio chagua yenye specs nzuri kwa ajili ya hayo matumizi.Camera ipi ipo vizuri kwa graphics katibya canon na nikon na vitu gani vya kuangalia kabla ya kununua
Black Magic hyo, ni miongoni mwa Camera za kisasa zinazotikisa industry ya Videos.
Nimekutana na picha hii nikajikuta najiuliza kwa sababu mimi sina ufahamu na vifaa hivyo lakini pia camera nyingi ninazoziona hazipo hivyo, je, hiyo ni aina gani ya camera na mbona ina makorokocho mengi?
Camera nyingi tunazoziona ni zile kubwa za sony ambazo hazina makorokocho mengi kama hiyo hapo juu?
Acha kumdanganya Mwenzio, Hio sio Red Camera. Hio ni Black Magic, Camera ingia Google search Red Cemera na BlackMagic uweze kuzitofautisha na Wala hazifanani kimaumbo. Next time jibu kitu ukiwa upo una ujuzi kama huna ni vema ukakaa kimya sio kuingiza watu chaka.Hio ndo Red Camera
Hanscana kwenye video ya inde alitumia redbongo wanatumia haya Cannon na Nikon Hakuna anashootia Red wew unafanya mchezo na Red nin
Sawa sawa mjuaji.Acha kumdanganya Mwenzio, Hio sio Red Camera. Hio ni Black Magic, Camera ingia Google search Red Cemera na BlackMagic uweze kuzitofautisha na Wala hazifanani kimaumbo. Next time jibu kitu ukiwa upo una ujuzi kama huna ni vema ukakaa kimya sio kuingiza watu chaka.
hio camera inaitwa blackmagic design 4k camera. ni camera ndogo tu ipo hivi
inaonekana mkuu lens zimekuchanganya ukaona camera kubwaa
chunguza vizuri picha yako utaona camera ndogoo.
hayo makorokocho ni kwa ajili ya kuvuta vitu vya mbali, mwanga, stabilization nk