onesha kwa mwenye mwaka mmojaNafikiri mtoa mada alimaanisha (259) x (umri wako) x (39) = (umri wako) (umri wako) (umri wako)
Hii ni kwasababu (259) x (39) = 10101
Sasa ukijumlisha zao la mamoja, mamia na makumi elfu na umri unapata hizo namba zinazo fanana
1 x (umri wako) + 100 x (umri wako) + 10000 x (umri wako) = (umri wako) (umri wako) (umri wako)
naomba msaada mimi babu yenu nina miaka 102 nilisoma mpaka darasa la pili kitabu cha hesabu ni highway mathematics book two cha kijani cover yake ina twiga na table ya kwanza mpaka 23 nikajua hesabu zimeisha sasa hiki ni nini?? Au na hesabu zimebadilikasahihi kabisa mtu wangu, nilikosea
Kila mtu ameambiwa apige kwa umri wake, kama wewe una mwaka mmoja piga mwenyewe.onesha kwa mwenye mwaka mmoja
mwanzo kulikuwapo na kosa, lakini hapo kati CHAMOTO amelibaini na kutoa majibu ya kinachotakiwa, yaani kueleza kwa nini ilikuwa hivyo.Huenda ulikuwa na wazo lakini umepresent sivyo,mi si mtaalam ila sipati jibu kama unavyodai,huenda umekurupuka,si unajua tena ugimbi wa send off/kitchen party umeanza tena.
Sahihi kabisa mtu wangu, nilikosea
naomba msaada mimi babu yenu nina miaka 102 nilisoma mpaka darasa la pili kitabu cha hesabu ni highway mathematics book two cha kijani cover yake ina twiga na table ya kwanza mpaka 23 nikajua hesabu zimeisha sasa hiki ni nini?? Au na hesabu zimebadilikanyie watu wagumu kuelewa...unajua mpaka kuingia jamii forum lazima uwe 18+ naamini mtoa mada alimaanisha umri wako (wewe ulie ndani ya jamii forum) so ukifanya (umri wako) (259) (39) = (umri, umri, umri)....nadhani hapo hata vilaza wameelewa.
MRONGO WEWE
KAJIPANGE UPYA
HKL AFU UNAJITIA PCM?
pamadakupaku!!!!
SAMAHANI SANA: kwenye post niliacha namba moja.
Usahihi: zidisha 259 x umri wako x 39
.
atakuwa kakurupuka na kanamba kake kamoja kalikokubali halafu anageneralize! maths is not about mkurupuko.
mfano miaka 28; 28x259 = 7252
sasa 7+2+5+2=16
onesha kwa mwenye mwaka mmoja
Hii technic ni applicable kwa umri wowote ule ila inagoma kwa mtoto mwenye mwaka 1 au kikongwe wa miaka 100,ni nzuri na nimeipenda,mtanisamehe wana JF,kweli nilikurupuka bila kusoma heading ya thread ambayo ni kwa wale wanaojua hisabati tu na si kwa watu kama mimi darasa la saba B.Nafikiri mtoa mada alimaanisha (259) x (umri wako) x (39) = (umri wako) (umri wako) (umri wako)
Hii ni kwasababu (259) x (39) = 10101
Sasa ukijumlisha zao la mamoja, mamia na makumi elfu na umri unapata hizo namba zinazo fanana
1 x (umri wako) + 100 x (umri wako) + 10000 x (umri wako) = (umri wako) (umri wako) (umri wako)
Nafikiri mtoa mada alimaanisha (259) x (umri wako) x (39) = (umri wako) (umri wako) (umri wako)
Hii ni kwasababu (259) x (39) = 10101
Sasa ukijumlisha zao la mamoja, mamia na makumi elfu na umri unapata hizo namba zinazo fanana
1 x (umri wako) + 100 x (umri wako) + 10000 x (umri wako) = (umri wako) (umri wako) (umri wako)
Au achukue 259*100*39=1010100.wee bana wee then chukua 7252 x 39 = 282828. upo?