Nimesikia hapa JF hakuna wataalamu wa hisabati, kama wapo kwa hili watachanganyana vichwa, watueleze kwanini inakuwa hivi:
Zidisha 259 x umri wako ( tuite A ) x 39 = ( A A A )
Jibu utakalopata ni namba tatu zinazofanana, kila moja ikitaja umri wako bila kukosea.
Haya leta mameno ila msiniulize source
Zidisha 259 x umri wako ( tuite A ) x 39 = ( A A A )
Jibu utakalopata ni namba tatu zinazofanana, kila moja ikitaja umri wako bila kukosea.
Haya leta mameno ila msiniulize source