Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
Hahahahahahahahahaa
Ni swali ambalo unaweza ukamuuliza mwanafunzi, wapi pana kosa! Ninaamini wewe unajuwa kosa lipo wapi. Kama unafahamu kuwa zero divide by zero can be certain number, depending to the nature of the numerator and denominator....kama ni zero gawanya kwa zero basi tunaweza kutumia L'Hospitals rule.
Kwanini nasema zero gawia zero? Ulipofika x-y/x-y; hi ni sawa na 0/0 maana x=y. Sasa ikiwa hiyo Never conclude kwamba ni 1.
Ninaamini nimeeleweka wapi palipo kufanya u-conclude kuwa jibu ni moja. Jiulize kwanini namba yoyote ukiigawa yenyewe kwa yenyewe jibu ni moja lakini 0 gawa kwa 0 si moja?
hospital rule? mambo ya hospitali yanatoka wapi kwenye hesabu?
na mtuambie mnatumia hospitali ipi? kcmc? mhimbili? bombo?
acheni kutudanganya....mi nnachojua hesabu ni ngumu lakini haziumwi.