Habari, nimetunga riwaya ambayo nategemea nitapata maoni yenu kwani iko mbioni kuchapishwa. Na hapa nimeona niwawekeeni kitabu hicho na nitarudi kupata maoni yenu baada ya kukisoma. Nategemea sana maoni na ushauri wenu wana JF wote ambao ni wapenzi na washabiki wa Riwaya. KARIBUNI. View attachment 54349
Ndugu mmoja alisema 'Watanzania ni wavivu' nikamuuliza 'katika nini?' Kumbe nimegundua sehemu mojawapo ni katika kujisomea! Mbona comments nyingi kabla ya kusoma? Nani kapitia riwaya hiyo?
Nitarudi nikimaliza kusoma.