Kwa wasiomjua mh. Hamad rashid (mb)

chama cha upinzani ni kimoja tu,..CHADEMA..sio ushabiki wala nini thats the naked truth
and you know it
nyabingi, hii kauli kuwa chama cha upinzani ni Chadema tuu, its your truth only but not fact. Ukweli halisi ni ule unaokuwa supported na facts.

Sasa kwa kukusaidia, Tanzania tuna nyama 19 vyenye usajili wa kudumu. CCM ndio chama tawala kwa Tanzania bara huku Zanzibar kikitawala na chama mshirika wake CUF. Hiyo tumebakiwa na vyama 17 vya upinzani huu ndio ukweli halisi and this is a fact!.

Sasa tunaweza kuja kwenye personal inferences kuhusu vyama hivi ndipo unaweza ukasema Chadema ndio the only genuine and serious opposition party in Tanzania kati ya vyama vyenye wabunge hapo tutakuelewa.
 
Hivi mie sielewi au kamusi yangu inanidanganya? jamani hizi hoja nadhani zimekaa kishabiki zaidi. Chadema ni chama cha upinzani lakini wao hawakutaka kuwashirikisha wapinzani kama UDP, TLP na NCCR Mageuzi kama kweli wao hawana nia mbaya ya kuuvunja upinzani nadhani wangewashirikisha hao na kuwaweka kando CUF hapo ningeiona dhamira ya kuudumisha upinzani.

Naheshimu dhamira ya CDM kutaka kufanya kazi peke yao na wala sikuona ubaya wowote ila sifurahii mnavyo present mada wenye kufikiri wakichambua mada zenu wanaanza kushuku dhamara za CDM can we grow up and post useful and analyzed posts/threads?
kwa kukusaidia si wote uwadhaniao kuwa wapinzani ni wapinzani!!!!!
 
kaka siku zote mada zako umeonyesha kuwa ni anti chadema even though u present it btn the lines,.hivi unataka kuniambia kuwa nccr,tlp,udp ni wapinzani wa kweli??check uhusiano wa wenyeviti wa hivyo vyama na ccm!chama cha upinzani ni kimoja tu,..CHADEMA..sio ushabiki wala nini thats the naked truth and you know it
Kwa mtazamo wangu mpaka sasa naamini kuwa Chadema ndio chama pekee ambacho kimeonyesha wazi kina uchungu na Watanzania na kiko katika mstari wa mbele kupigana vita na ufisadi na kuleta maendeleo kwa kila Mtanzania. Turudi nyuma kidogo, tukumbuke wakati wa uchaguzi uliopita. Kuna vyama vya 'upinzani' vilidiriki kuwaambia wananchi wampigie kura mgombea urais wa ccm (ccm ambayo inaonyesha wazi kuwafisadi Watanzania)! Chadema ni chama ambacho kiko makini katika lengo lake la kumkomboa Mtanzania, na hakifanyi mzaha kuhusu maisha ya wananchi. Hivyo wana haki kabisa ya kukataa kihalali, kwa mujibu wa sheria, kushirikiana na vyama ambavyo wanaona kuwa havipo katika upande wa kutetea maslahi ya wananchi!
 
kaka siku zote mada zako umeonyesha kuwa ni anti chadema even though u present it btn the lines,.hivi unataka kuniambia kuwa nccr,tlp,udp ni wapinzani wa kweli??check uhusiano wa wenyeviti wa hivyo vyama na ccm!chama cha upinzani ni kimoja tu,..CHADEMA..sio ushabiki wala nini thats the naked truth and you know it

Kaka mimi si anti Chadema na sishabikii vyama kwani wao wanatutumia sisi kujinufaisha wao, nina mifano mingi tu hili vuguvugu unaloliona leo la chadema lilishawahi kutokea Kenya kina Mwai Kibaki wakashika madaraka wakati wao walipokuwa wapinzani kama Chadema agenda yao kuu ilikuwa katiba yaani same as here lakini walivyoingia madarakani kilichotokea twakijua kama hujui muulize koffi annan atakuambia na acampo.

Nimesema sisi ndio tunaowatuma wanasiasa wakatuwakilishe kwa maana nyepesi sisi ndio waajiri wao, inabidi kwanza tujitambue nini tunawatuwa ili wafanye yale yenye matakwa yetu na manufaa yetu na si kinyume na hapo.

Angalia vizuri post zangu utaona kuna sehemu nyingi sana nakubaliana na CDM na kiheshimu kama chama cha siasa na nawaheshimu sana viongozi wake na naamini mchango wao utasaidia kuelekea kule tunapotaka Tanzania ifike. Lakini siwezi kunyamaza na kusifia kijinga nikiona kitu ambacho kinaitoa CDM kwenye mstari kwani wakipoteza mwelekeo ile safari yetu itakuja kugeuka ndoto.

Turudi kwenye suala la NCCR, TLP na UDP kuto kuwa vyama vya upinzani, mimi naamini ni vyama vya upinzani ikiwa kosa lao kupeana bashasha na wanaccm na viongozi wa ccm bungeni basi wanakuwa wao ni wasaliti sioni mantiki ya siasa hapa. Hivi unataka kuniambia CDM watakuwa wanawanunia wenzao wa ccm eti tu wao ndio wapinzani wa kweli? Siamini watu makini kama kina Mbowe wanaweza wakawa na mawazo kama yako! Kumbuka kuwa siasa si kununiana ndio maana uliona hata ile picha ya Slaa na Pinda Slaa kakauka kucheka huku akigonga! Ndugu yangu vitendo vingine vinasababisha maneno ya kejili na kuna wengine wana upeo mdogo wa kufikiri wakachukulia zile kejeli ni kweli. Mfano kuna baadhi ya wabunge walisikika wakiwaa mbia wacdm wakati wanatoka naomba ni nukuu "Tumewazoea kukimbia, kwisha, uchoyo, weak politicians, na kwenye posho msije, mnadaiwa na mabenki,"walisikika wabunge wakisema kwa kupiga kelele" wapo watu wataanza kufikiria pengine hizi hoja zinaweza zikawa na ukweli ndani yake


Naomba niishie hapa ila ifike wakati tuvichambue hivi vyama na kuangalia je vinatekeleza malengo yetu au wanatekeleza malengo yao kama wanasiasa?
 
kwa kukusaidia si wote uwadhaniao kuwa wapinzani ni wapinzani!!!!!

Swali ni je hao wapinzani ambao ni wapinzani wanasimamia maslahi yetu kwanza? wanafanya yale tuliowatuma kama sisi ni waajiri? nini maana ya upinzani? labda nadhani tunatafsiri sivyo neno upinzani ndio maana tunaona NCCR, TLP na UDP ni vyama tawala.
 
Pamoja na wananchi kukaa kimya kwa muda mrefu na kumwacha Mh Hamad Rashid kujitia kuwa yeye ndiyo msafi kuliko wengine wote asifikiri kuwa watu hawamjui tamaa yake inayomshinda Fisi, Bwana Hamad amekuwa na tabia ya ubinafsi wa kutisha kuliko ule anao usema kwa wenzake na hata hufikia kudhuru na kuumiza watu anapotaka jambo lake litimie, Bwana Hamad uroho wake hauwezi lingaanishwa na yoyote hapa nchini kwa sisi tunaomjua narudia hufikia kudhuru hadi kuumiza iwapo anataka matakwa yake yakamilike, wananchi wanafahamu wakati akiwa yeye na wabunge majority hakukumbuka kubadilisha kanunu za bunge sababu alipenda uheshimiwa na marupurupu ya mkuu wa kambi ya upinzani choyo chake hataki kuona mwingine yupo juu yake, lakini hii leo siyo issue.
nilitaka mumuelewa Hamadi kama afuatavyo Hamadi leo hii ni mkurugenzi wa kampuni ya TALKTEL COMMUNICATIONS LTD lakini mnajua aliipataje nafasi ya ukurugenzi wakati yeye si mwasisi wa kampuni hii , Mpwa wa Hamadi aliingia talktel kama partner through local partners kwa mapenzi ya undugu alimwita Hamadi kuingia mule ndani kwa ajili ya influence ya kiserikali na kusaidia mambo fulani fulani ya PR na wakubwa lakini ilikuwa wameingiza jini baada ya hamadi kupewa kiti mle ndani alianza kuwashawishi local partner waasi ili waweze kupora hiyo kampuni kwani share alizokuwa nazo mpwa wake aliona hazitoshi alitaka zaidi nataka kuelezea ni jinsi gani asivyolidhika aliwashawishi local partner wagomee shares walizonazo lakini wale wamarekani walikataa walipokataa Bwana hamadi alianza kuwatesa na kuwafungulia kesi kila siku na kuwapeleka immigration na kuwasiliana na polisi ili wakimbie nchi mbinu za kizamani kabisa hakuangalia hata heshima ya nchi kwa wageni yeye aliona masilahi yake tu mbele ni mtu hatari kwelikweli alivuruga kampuni na mipango yake yote hadi watu wenye idea ya mradi wakasambaratika na kubakia ombaomba hapa mjini lakini yeye akiwa amebakia na kampuni hapa mjini kampuni hii hivi sasa ina operate kutokea ofisini kwake kule maeneo ya lugalo golf club ambapo mheshimiwa anaishi humohumo huyu ndiyo MH .Hamad Rashidi Aanewaambia wenzake wabinafsi wakati wakiwa wamesimama mbele ya haki, na jua huyu bwana ni mbishi lakini akibisha haya tutaweka ushahidi mwingi wa kutosha na jinsi alivyohusika uporaji wa kampuni bwana huyu hakuishia kuwafukuza investors tu, leo hii katika kundi lao la local shareholders wapatao 8 waliopora kampuni ameishakorofishana na wote wamebaki wachache nasikia hata mpwawe aliemkaribisha naye katimka leo hii yeye ndiyo mwenyekiti wa Talktel communication ltd shame on you Hamadi. Aibu zako ni kubwa kitaifa na kimataifa unaweza kupora kampuni lakini siyo haki ya watanzania wote iliyopo kihalali kwa ajili ya kutimiza matakwa yako wenye nchi hii hawatakukubalia wewe ni chui ndani ya ngozi ya kondoo .
NAOMBA KUWAKILISHA

Utasema mengi sana kuhusu Hamad. Lakini kumbuka hicho ni kichwa ambacho sidhani kama Pale Bungeni ana mshindani. Ameshika nyadhifa nyingi na mzoefu sana katika .
 
Haya malumbano yanatia hasira tu.

Nimeyavumilia toka jana, ni vile tu naheshimu Forum Rules.

Ni muumini wa Muungano lakini sasa kuna chuki inajengeka ndani yangu dhidi ya Muungano.

Nataka katiba MPYA, nataka Tanganyika ya Baba na Babu yangu. I want her back!!!!!!!!!!!

Huu uhayawani wa kwenda nchi ya watu (Tanganyika) na ukapewa cheo ili ule hela ya wanatanganyika wakati wao fursa hiyo hawana ni Ushenzi wa kiwango cha juu!
 
Hamad Rashid Mohammed + Freeman Aikael Mbowe = Conflict of Interest = Kifo cha kambi ya upinzani bungeni
 
hamadi rashidi ni naibu makamuwa kwanza wa CCm kule Zanziber.na yeye wamekubaliana kuja Dodoma kuivunja nguvu cdm. hivi huyu si mnamjuwa kwamba ni shushushu.
 
Pamoja na wananchi kukaa kimya kwa muda mrefu na kumwacha Mh Hamad Rashid kujitia kuwa yeye ndiyo msafi kuliko wengine wote asifikiri kuwa watu hawamjui tamaa yake inayomshinda Fisi, Bwana Hamad amekuwa na tabia ya ubinafsi wa kutisha kuliko ule anao usema kwa wenzake na hata hufikia kudhuru na kuumiza watu anapotaka jambo lake litimie, Bwana Hamad uroho wake hauwezi lingaanishwa na yoyote hapa nchini kwa sisi tunaomjua narudia hufikia kudhuru hadi kuumiza iwapo anataka matakwa yake yakamilike, wananchi wanafahamu wakati akiwa yeye na wabunge majority hakukumbuka kubadilisha kanunu za bunge sababu alipenda uheshimiwa na marupurupu ya mkuu wa kambi ya upinzani choyo chake hataki kuona mwingine yupo juu yake, lakini hii leo siyo issue.
nilitaka mumuelewa Hamadi kama afuatavyo Hamadi leo hii ni mkurugenzi wa kampuni ya TALKTEL COMMUNICATIONS LTD lakini mnajua aliipataje nafasi ya ukurugenzi wakati yeye si mwasisi wa kampuni hii , Mpwa wa Hamadi aliingia talktel kama partner through local partners kwa mapenzi ya undugu alimwita Hamadi kuingia mule ndani kwa ajili ya influence ya kiserikali na kusaidia mambo fulani fulani ya PR na wakubwa lakini ilikuwa wameingiza jini baada ya hamadi kupewa kiti mle ndani alianza kuwashawishi local partner waasi ili waweze kupora hiyo kampuni kwani share alizokuwa nazo mpwa wake aliona hazitoshi alitaka zaidi nataka kuelezea ni jinsi gani asivyolidhika aliwashawishi local partner wagomee shares walizonazo lakini wale wamarekani walikataa walipokataa Bwana hamadi alianza kuwatesa na kuwafungulia kesi kila siku na kuwapeleka immigration na kuwasiliana na polisi ili wakimbie nchi mbinu za kizamani kabisa hakuangalia hata heshima ya nchi kwa wageni yeye aliona masilahi yake tu mbele ni mtu hatari kwelikweli alivuruga kampuni na mipango yake yote hadi watu wenye idea ya mradi wakasambaratika na kubakia ombaomba hapa mjini lakini yeye akiwa amebakia na kampuni hapa mjini kampuni hii hivi sasa ina operate kutokea ofisini kwake kule maeneo ya lugalo golf club ambapo mheshimiwa anaishi humohumo huyu ndiyo MH .Hamad Rashidi Aanewaambia wenzake wabinafsi wakati wakiwa wamesimama mbele ya haki, na jua huyu bwana ni mbishi lakini akibisha haya tutaweka ushahidi mwingi wa kutosha na jinsi alivyohusika uporaji wa kampuni bwana huyu hakuishia kuwafukuza investors tu, leo hii katika kundi lao la local shareholders wapatao 8 waliopora kampuni ameishakorofishana na wote wamebaki wachache nasikia hata mpwawe aliemkaribisha naye katimka leo hii yeye ndiyo mwenyekiti wa Talktel communication ltd shame on you Hamadi. Aibu zako ni kubwa kitaifa na kimataifa unaweza kupora kampuni lakini siyo haki ya watanzania wote iliyopo kihalali kwa ajili ya kutimiza matakwa yako wenye nchi hii hawatakukubalia wewe ni chui ndani ya ngozi ya kondoo .
NAOMBA KUWAKILISHA

HR naskia ni U.T.
 
Kaka mimi si anti Chadema na sishabikii vyama kwani wao wanatutumia sisi kujinufaisha wao, nina mifano mingi tu hili vuguvugu unaloliona leo la chadema lilishawahi kutokea Kenya kina Mwai Kibaki wakashika madaraka wakati wao walipokuwa wapinzani kama Chadema agenda yao kuu ilikuwa katiba yaani same as here lakini walivyoingia madarakani kilichotokea twakijua kama hujui muulize koffi annan atakuambia na acampo.

Nimesema sisi ndio tunaowatuma wanasiasa wakatuwakilishe kwa maana nyepesi sisi ndio waajiri wao, inabidi kwanza tujitambue nini tunawatuwa ili wafanye yale yenye matakwa yetu na manufaa yetu na si kinyume na hapo.

Angalia vizuri post zangu utaona kuna sehemu nyingi sana nakubaliana na CDM na kiheshimu kama chama cha siasa na nawaheshimu sana viongozi wake na naamini mchango wao utasaidia kuelekea kule tunapotaka Tanzania ifike. Lakini siwezi kunyamaza na kusifia kijinga nikiona kitu ambacho kinaitoa CDM kwenye mstari kwani wakipoteza mwelekeo ile safari yetu itakuja kugeuka ndoto.

Turudi kwenye suala la NCCR, TLP na UDP kuto kuwa vyama vya upinzani, mimi naamini ni vyama vya upinzani ikiwa kosa lao kupeana bashasha na wanaccm na viongozi wa ccm bungeni basi wanakuwa wao ni wasaliti sioni mantiki ya siasa hapa. Hivi unataka kuniambia CDM watakuwa wanawanunia wenzao wa ccm eti tu wao ndio wapinzani wa kweli? Siamini watu makini kama kina Mbowe wanaweza wakawa na mawazo kama yako! Kumbuka kuwa siasa si kununiana ndio maana uliona hata ile picha ya Slaa na Pinda Slaa kakauka kucheka huku akigonga! Ndugu yangu vitendo vingine vinasababisha maneno ya kejili na kuna wengine wana upeo mdogo wa kufikiri wakachukulia zile kejeli ni kweli. Mfano kuna baadhi ya wabunge walisikika wakiwaa mbia wacdm wakati wanatoka naomba ni nukuu "Tumewazoea kukimbia, kwisha, uchoyo, weak politicians, na kwenye posho msije, mnadaiwa na mabenki,"walisikika wabunge wakisema kwa kupiga kelele" wapo watu wataanza kufikiria pengine hizi hoja zinaweza zikawa na ukweli ndani yake


Naomba niishie hapa ila ifike wakati tuvichambue hivi vyama na kuangalia je vinatekeleza malengo yetu au wanatekeleza malengo yao kama wanasiasa?

Mohamed,
issue hapa si kafulila au cheyo kuchekeana na wabunge wa ccm ama wabunge wa cdm kununiana na wabunge wa ccm.
issue hapa ni ushirika uliopo miongoni mwa viongozi wa vyama hivyo.
1.Augustine lyatonga mrema siku zote amekuwa akimfanyia kampeni kikwete huku akiwapondea cdm, naye utasema ni mpinzani wa kweli?wabunge wa cdm watakuwa wanaongea naye kama mtanzania mwenzao lakini hawawezi kumuaminikatika masuala muhimu ya kisiasa.
2John cheyo alikuwa akimfanyia kampeni kikwete, tena huyu mwaka jana kwenye bunge lililopita kambi ya upinzani ilimtimua uenyekiti wa kamati baada ya kwenda kinyume na msimamo wa kambi, naye utamuita mpinzani wa kweli?lakini wabunge wa cdm wanaongea naye na kuishi naye kama mtanzania mwenzao sio mtu serious katika opposition politics.
3.James mbatia wa nccr mageuzi amekuwa na uhusiano mbaya sana na cdm, kampeni zake za ubunge kwa tuliokuwa dsm tunajua hujuma laiyoiendesha dhidi ya mh.halima mdee na cdm lakini wananchi waliamua kumchagua halima mdee, na kwa kuzingatia mazingira ya akina kafulila, moses machali, mkosamali na bi.zaituni wote hawa ni wabunge kupitia nccr mageuzi waliondoka cdm kwa matatizo mbalimbali.Kwahiyo wanaongea na kujumuika na wabunge wenzao wa cdm lakini katika hali halisi hawawezi kushirikiana seriously na cdm unless ututhibitishie kwamba mbatia maeacha bifu na cdm.

Kwahiyo ndugu yangu pamoja na kujaribu kuwa advocate wa cuf na ni haki yako na muda huo huo kujaribu kutudanganya kwamba wewe si anti cdm, unakuwa unatuongopea.kila mara tunakusoma kiongozi msimamo wako yunaeleweka huna sababu ya kuwakana cuf wakati kila uchao unawatetea.Kitu cha msingi ni kusimama na facts, upenzi wa chama ama ufuasi wa chama ni jambo la kawaida sana-hizi siasa unazotuletea kwamba wewe sio mwanasiasa si zenyewe, wewe ni mwanasiasa inawezekana hujitambui ama unataka kutughilibu.
 
Tuondolee upupu wako hapa haya mambo yake binafsi na biashara zake yanahusu nini, hii ni sawa na ujinga wa kusema mbowe na biasharazake mara hivi mara vile au kumsema slaa na uliokuwa upadri wake na ccbrt.
Lete hoja acha majungu ndungu yangu

Unachoeleza kina mantiki lakini lugha uliyotumia inalazimisha msomaji asikutofautishe na unayemlaumu. Jaribu kuwa mstaarabu kidogo unapo-argue against mawazo ya mtu mwingine. In that way, you will always be respected.
 
Hoja ya Mohamed ni kuwa vyama vya tlp,nccr,udp na cuf vimesajiliwa kama vyama vya siasa vimegombea uongozi nakupata nafasi walizopata, kifupi waligombea kama vyama vya siasa na kwa kuwa ktk uchaguzi walishinda ccm (bila kujali wamechakachua au la, uhalisia unabaki kuwa wameshinda) vyama vilivyoshindwa vinakuwa vya upinzani. Wananchi ndio waliowachagua wabunge wa cdm, cuf, nccr, udp na tlp na wakati wanawachagua walikuwa wanajua vyama vyao hivyo kwa kuwa vyama vyao vimeshindwa na ccm wote wamekuwa wapinzani. Je kwa nini cdm inajipambanua kuwa wao ndio wapinzani wa ukweli wenzao ni wa uongo (wanafiki)?

Kimsingi wanasiasa ni lazima wawe na itikadi zao na chama chochote makini ni lazima kiongozwe na itikadi madhubuti, inapotokea mnatofautiana kifikra na kiitikadi haiwezekani mkaungana kuunda umoja na ndio maana hadi leo hapa Tanzania hapajatokea muungano wa vyama wa ukweli ni maneno maneno tu lakini hakuna muungano wa dhati. Na tukumbuke kila chama kina malengo yake, moja kushinda uchaguzi lakini wakishindwa wawe wapinzani mathubuti ili waweze kuking'oa chama kilichopo madarakani baadae,

Katika hili tujiulize
i/ chama kitumie resources nyingi ktk kujiimarisha na kiwfanye vizuri ktk uchaguzi je kinaulazima wa kuungana na wenzake(wapinzani) ktk kuongoza upinzani ikiwa kanuni zinawapa nguvu wao?
ii/ Je ni sahihi kuweka ushirikiano na mtu mnaetofautiana kiitikadi na kimtazamo na ushirikiano wenu kuwa wa manufaa?
iii/ je ni sahihi kuungana na mtu ambae kwa upande mmoja kaungana na mpinzani wako kuongoza nchi na usiri wa mikakati yenu ya kumbana mpinzani wako ikawa salama?
iv/ ni sahihi kuungana na kushirikiana na vyama vinavyojiendesha kama kampuni au NGO's (udp & tlp) ktk kufanya siasa za kweli na za maslahi kwa taifa
v/ je ni sahihi kuungana na chama ambacho akina msingi endelevu kama nccr (maana wabunge wake wote ni waamiaji toka cdm wenyeji wanaporomoka kisiasa kila kukicha)
vi/ je ni sahihi kuungana na chama nachoweka weka mapingamizi kwa wapinzani wenzao kila kukicha? nccr kiliwawekea pingamizi wagombea wa cuf zanzibar, mbatia anapinga ushindi wa mdee
vii/ je ni sahihi kuungana na chama ambacho mbunge (mwenyekiti) wake alikuwa anamkampenia mpinzani wako na kumtelekeza mgombea wake na kutegemea ushirikiano wenu utakuwa wa mafanikio?

Kiukweli vyama vyote vyenye wabunge isipokuwa ccm ni vyama vya upinzani kimuonekana lakini kimtazamo na kiuhalisia wapinzani wanaweza kuwa ni cdm tu. japokuwa wabunge wa baadhi ya vyama kimsimamo ni wapinzani mf kafulila na wenzake wa nccr na baadhi ya wabunge wa cuf kifikra na kimtazamo hata kiitikadi ni wapinzani lakini wote hao wapo chini ya muamvuli wa vyama, vyama vyao vinajibainisha kuwa si vya upinzani hapo ndio utata wa muungano/ushirikiano wa wapinzani unapo jitokeza

kwa upande wangu chama hakiwezi kuwa na ushirikiano na chama wanachotofautiana KIITIKADI na kimtazamo hapo itakuwa ni USANII na si ushirikiano wenye manufaa. NDIO MAANA TUJIULIZE INAKUWAJE CCM WASHABIKIE USHIRIKIANO WA WAPINZANI WAKE? IKIWA UMOJA WAO NI MAAFA KWAO JE KWA NINI WANATAKA HAWA WAPINZANI WAWE WAMOJA TAFAKARI KISHA CHUKUA HATUA
 
Pamoja na wananchi kukaa kimya kwa muda mrefu na kumwacha Mh Hamad Rashid kujitia kuwa yeye ndiyo msafi kuliko wengine wote asifikiri kuwa watu hawamjui tamaa yake inayomshinda Fisi, Bwana Hamad amekuwa na tabia ya ubinafsi wa kutisha kuliko ule anao usema kwa wenzake na hata hufikia kudhuru na kuumiza watu anapotaka jambo lake litimie, Bwana Hamad uroho wake hauwezi lingaanishwa na yoyote hapa nchini kwa sisi tunaomjua narudia hufikia kudhuru hadi kuumiza iwapo anataka matakwa yake yakamilike, wananchi wanafahamu wakati akiwa yeye na wabunge majority hakukumbuka kubadilisha kanunu za bunge sababu alipenda uheshimiwa na marupurupu ya mkuu wa kambi ya upinzani choyo chake hataki kuona mwingine yupo juu yake, lakini hii leo siyo issue.
nilitaka mumuelewa Hamadi kama afuatavyo Hamadi leo hii ni mkurugenzi wa kampuni ya TALKTEL COMMUNICATIONS LTD lakini mnajua aliipataje nafasi ya ukurugenzi wakati yeye si mwasisi wa kampuni hii , Mpwa wa Hamadi aliingia talktel kama partner through local partners kwa mapenzi ya undugu alimwita Hamadi kuingia mule ndani kwa ajili ya influence ya kiserikali na kusaidia mambo fulani fulani ya PR na wakubwa lakini ilikuwa wameingiza jini baada ya hamadi kupewa kiti mle ndani alianza kuwashawishi local partner waasi ili waweze kupora hiyo kampuni kwani share alizokuwa nazo mpwa wake aliona hazitoshi alitaka zaidi nataka kuelezea ni jinsi gani asivyolidhika aliwashawishi local partner wagomee shares walizonazo lakini wale wamarekani walikataa walipokataa Bwana hamadi alianza kuwatesa na kuwafungulia kesi kila siku na kuwapeleka immigration na kuwasiliana na polisi ili wakimbie nchi mbinu za kizamani kabisa hakuangalia hata heshima ya nchi kwa wageni yeye aliona masilahi yake tu mbele ni mtu hatari kwelikweli alivuruga kampuni na mipango yake yote hadi watu wenye idea ya mradi wakasambaratika na kubakia ombaomba hapa mjini lakini yeye akiwa amebakia na kampuni hapa mjini kampuni hii hivi sasa ina operate kutokea ofisini kwake kule maeneo ya lugalo golf club ambapo mheshimiwa anaishi humohumo huyu ndiyo MH .Hamad Rashidi Aanewaambia wenzake wabinafsi wakati wakiwa wamesimama mbele ya haki, na jua huyu bwana ni mbishi lakini akibisha haya tutaweka ushahidi mwingi wa kutosha na jinsi alivyohusika uporaji wa kampuni bwana huyu hakuishia kuwafukuza investors tu, leo hii katika kundi lao la local shareholders wapatao 8 waliopora kampuni ameishakorofishana na wote wamebaki wachache nasikia hata mpwawe aliemkaribisha naye katimka leo hii yeye ndiyo mwenyekiti wa Talktel communication ltd shame on you Hamadi. Aibu zako ni kubwa kitaifa na kimataifa unaweza kupora kampuni lakini siyo haki ya watanzania wote iliyopo kihalali kwa ajili ya kutimiza matakwa yako wenye nchi hii hawatakukubalia wewe ni chui ndani ya ngozi ya kondoo .
NAOMBA KUWAKILISHA

Hii kesi yako ni kubwa peleka International Criminal Court zikakutane na Dowans
 
Pamoja na wananchi kukaa kimya kwa muda mrefu na kumwacha Mh Hamad Rashid kujitia kuwa yeye ndiyo msafi kuliko wengine wote asifikiri kuwa watu hawamjui tamaa yake inayomshinda Fisi, Bwana Hamad amekuwa na tabia ya ubinafsi wa kutisha kuliko ule anao usema kwa wenzake na hata hufikia kudhuru na kuumiza watu anapotaka jambo lake litimie, Bwana Hamad uroho wake hauwezi lingaanishwa na yoyote hapa nchini kwa sisi tunaomjua narudia hufikia kudhuru hadi kuumiza iwapo anataka matakwa yake yakamilike, wananchi wanafahamu wakati akiwa yeye na wabunge majority hakukumbuka kubadilisha kanunu za bunge sababu alipenda uheshimiwa na marupurupu ya mkuu wa kambi ya upinzani choyo chake hataki kuona mwingine yupo juu yake, lakini hii leo siyo issue.
nilitaka mumuelewa Hamadi kama afuatavyo Hamadi leo hii ni mkurugenzi wa kampuni ya TALKTEL COMMUNICATIONS LTD lakini mnajua aliipataje nafasi ya ukurugenzi wakati yeye si mwasisi wa kampuni hii , Mpwa wa Hamadi aliingia talktel kama partner through local partners kwa mapenzi ya undugu alimwita Hamadi kuingia mule ndani kwa ajili ya influence ya kiserikali na kusaidia mambo fulani fulani ya PR na wakubwa lakini ilikuwa wameingiza jini baada ya hamadi kupewa kiti mle ndani alianza kuwashawishi local partner waasi ili waweze kupora hiyo kampuni kwani share alizokuwa nazo mpwa wake aliona hazitoshi alitaka zaidi nataka kuelezea ni jinsi gani asivyolidhika aliwashawishi local partner wagomee shares walizonazo lakini wale wamarekani walikataa walipokataa Bwana hamadi alianza kuwatesa na kuwafungulia kesi kila siku na kuwapeleka immigration na kuwasiliana na polisi ili wakimbie nchi mbinu za kizamani kabisa hakuangalia hata heshima ya nchi kwa wageni yeye aliona masilahi yake tu mbele ni mtu hatari kwelikweli alivuruga kampuni na mipango yake yote hadi watu wenye idea ya mradi wakasambaratika na kubakia ombaomba hapa mjini lakini yeye akiwa amebakia na kampuni hapa mjini kampuni hii hivi sasa ina operate kutokea ofisini kwake kule maeneo ya lugalo golf club ambapo mheshimiwa anaishi humohumo huyu ndiyo MH .Hamad Rashidi Aanewaambia wenzake wabinafsi wakati wakiwa wamesimama mbele ya haki, na jua huyu bwana ni mbishi lakini akibisha haya tutaweka ushahidi mwingi wa kutosha na jinsi alivyohusika uporaji wa kampuni bwana huyu hakuishia kuwafukuza investors tu, leo hii katika kundi lao la local shareholders wapatao 8 waliopora kampuni ameishakorofishana na wote wamebaki wachache nasikia hata mpwawe aliemkaribisha naye katimka leo hii yeye ndiyo mwenyekiti wa Talktel communication ltd shame on you Hamadi. Aibu zako ni kubwa kitaifa na kimataifa unaweza kupora kampuni lakini siyo haki ya watanzania wote iliyopo kihalali kwa ajili ya kutimiza matakwa yako wenye nchi hii hawatakukubalia wewe ni chui ndani ya ngozi ya kondoo .
NAOMBA KUWAKILISHA

Mkuu Burigi.

Yaani habari ndefu namna hii haina paragrafu, koma wala kituo kikubwa? ama kweli tunaelekea kubaya sitashangaa ukimwaga CV hapa kuwa na wewe una degree.
Taifa lina tatizo, maana mpaka hata unakuwa na wasiwasi na ujumbe unaletwa.
Samahani mkuu, kama ulimtuma mwanao akusaidie kuandika.
 
Niliwahi kupost hii, baadhi wakabisha na wengine wakaunga mkono..sasa tunazidi kumuona huyu HR ni mtu wa aina gani!! naomba nirudi kupost/kukumbushi hii tena,

***********************************************************
Binafsi nilikuwa simjua vizuri Mh. Hamad Rashid zaidi ya kumsikia juu juu tu kwenye vyombo vya habari. Lakini baada ya kuangalia mdahalo wa ITV kati yake na M. Mbowe nimegundua kuwa Mh Hamad Rashid ni mtu:-

1. Anapenda kutoa sentensi za vitisho. (ana u-dikteta).

Hapo nahisi au siku ile alikuwa hajuia/hana uhakika na anachoongea alitaka tukubaliane naye tu, au alikuwa anapindisha ukweli kwa maslahi binafsi, au hizo sentensi zinatokana na shinikizo flani alilopewa. mfano alirudia rudia "let be seriouse on this"

2. Haijui vizuri katiba ya JMT na kanuni za bunge

Alikaa bungeni zaid ya miaka 15 na alishashika madaraka mbali mbali serikalini. lakini haijui vizuri katiba ya nnchi na kanuni za bunge, kiasi cha kushindwa kujua kutoka bungeni kwa wabunge wa CHADEMA sio kuvunja katiba wala kanuni yoyote ya bunge.

3. Anapenda madaraka.

Yupo tayari kufanya lolote apate madaraka mfano, walifanya malidhiano serikali ya Mh. Mkapa (bila kuwashirikisha wananchi)akateuliwa mbunge, kwa malidhiano hayao hayo w wanataka kuingiza kwenye katiba ya muungano cheo cha Makamu wa Rais wa ZNZ atambuliwe kikatiba (bila kushirikisha wananchi) na Sasa zaid, anataka kuingiza kwenye kanuni za bunge atambulike kama kiongozi wa upinzani mdogo bungeni (Ili aendelee kupata mil 100 na malupulupu mengine).

4. Ana element flani za udini.
Mara ninyi alikuwa akitumia mifano ya udini kujengea hoja. mfano ule wa ndesa, aliungiza hata palipokuwa hapastahili ili tu afikishe ujumbe.

5. Anamchukia Mh. Mbowe kama Mbowe kuliko CHADEMA na upinzani
Sijui kwa sababu amechukua kiti chake au la!
kwa maana, Alioneka mara nyingi akitoa mifano ya kushirikiano na Dr. Slaa ,Ndesa n.k hii ina maana ya kujisafisha juu kutokuwa na mahusiano mazuri na CHADEMA.

6. Anajivunia uzanzibar kuliko utanzania. (ni mmbaguzi)

Kauli zake zinadhihilisha kilcho moyoni mwake.

7. Mpenda sifa za kijinga

Mfano, alisifia mara nyingi kufa kwa watu 45 kwenye kudai katiba ambayo sasa wamengia tkt serikali ya mseto bila kushikisha mwazo ya wananchi hao hao waliomwaga damu, badala yake waliwashirikisha kupiga kura ya serikali ya maseto tu. Hamna hata hatua za kushinikza waliomwaga damu zao wachukuliwe zilizochukuliwa, sijui ndo inawasaidia nini wahenga wao waliadhilika na umwagaji damu, au usaliti!

8. Ana ubinafsi (Anajijali yeye kuliko chama chake/watu wake).

Alikuwa akijisifia yeye kama yeye zaidi ya chama chake na watu wake.

9. Ni kigeu geu / Hana msimamo

Amekuwa akitoa kauli zinazopingana. Kwanza alishasema kwamba Mh.Mbowe hakumualika kuunda kambi ya upinzani, the akasema aliambiwa akakataa kutoka na tofauti za kimisimamo. Hata alipoulizwa aseme ipi ni kauli sahihi aliruka kwa ukali ule ule kwamba "mimi nipo very seriose na kauli zangu". Sijui swali hakuliewa ? alitumia ukali kuficha udhaifu au ndo udikteta?

10. Ana dalili za kifisadi.

Msimamo wake unaonyesha kuegemea upande wenye mslahi binafsi zaidi kuliko maslahi ya Taifa

******************************************************************

Kumbe, mmmmh!

 
Back
Top Bottom