HAHahahahhahahahah Umeamua kupoteza muda mrefu kuweka crap! Magufuli ndiye Mwana CCM aliyebaki wengine ni magogo!
...sishangai conclusion yako, hasa ukizingatia ma-role model wako ni watekaji, wauaji, wanavisasi na wakamia madaraka km Hitler, Bush, Musolin na majenerali punguani! Do many wrongs make one right? Na Lowassa tumkubali basi, km ni uchapa kaz, au?