- Thread starter
- #21
Mze kila mtu ana good na bad History hata magufuri ana mema mengi tu amefanyia taifa hili mfano ameweza kusimamia wizara mbalimbali kwa ufanisi mkubwa kulinganisha na wenzake waliopata kupita katika wizara hizo mfano ujenzi wa barabara aliweza kusimamia vizuri zaidi na hiyo ndiyo sifa tunayompamba nayo sana kwa kweli hata mimi ninampongeza lakini hata humo ukiangalia kwa ndani utagundua kuwa kuna vitu vingi alifanya ambavyo kimaadili vinamwangusha kuwa kiongozi bora na ukweli utabaki ndani ya samaki kumi walioza angalau yeye hajafikia hali mbaya anaweza kiliwa hata kwa ndimu