<br />oppressers and hummiliaters can do so!
<br />Wewe nani kakwambia muathirika haitaji love na family? Kuna jamaa hapa alishatafuta mchumba muathirika mwenzake! <br />
<br />
Assume mna ndoa already; mtaachana mkigundua mna ngoma!<br />
<br />
Bora aoe/aolewe ili maambukizi yasienee!
<br />Assume one day ukaenda kupima damu ukakutwa umeambukizwa HIV au nduguyo ametest positive(just assumption), utaendelea/utamshauri kuwa na mipango ya kuoa/kuolewa na kuzaa watoto? Kwa nini?
<br /><br /><br />
<br /><br />
thanks mkuu, how ar u going to advice them kuhusu watoto?