VALLE MYAMLETTE
Member
- May 25, 2011
- 9
- 6
Bado napakia...
Maswali na hoja za kimajungu!
Ndugu umeongea vitu vinavyo_touch vibaya... Hii akiipata mkwe.re lazima atatafakari mwaka mzima. Ajui kuwa waTanzania tumeamka sasa"
Na kiongozi makini lazima kichwa kitamuuma.
Mpaka kesho uzi huu utakuwa haupo, najutia kwa nini natumia simu maana nigesave kabisa kabla jopo la maMoDs halijafanya vitu vyake.