Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Mrembo uko bar mchana wapata raha na mwandani wako(ambaye hamna hata mwaka ktk mapenzi).. unajckia kwenda maliwato kutabaruku.. wamuaga mwenzako, unanyanyuka na wageuka kuelekea chemba.. Ile kugeuka tu...jamaa yako anakupiga kofi la wowowo afu analiminya ki-namna ya mahaba..MBELE ZA WATU nawe ni mrembo mwenye staha zako!! mrembo...utafanyeje? kama wewe kdume ktk hali hyo wafanyiwa na barafu wako utafanyaje?