CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
sababu kubwa ni kuendekeza uzinzi tu, hv unapoapa mbele za Mungu na wanadamu km mashahidi huwa una akili timamu ama unakuwa umerukwa akili? et "pokea pete hii iwe ishara ya uaminifu wangu kwako . . . kwa shida na raha" ee Mungu nisaidie! yan ndo mana watu wanapata laana sababu ya kumdanganya Mwenyezi Mungu. me nafikiri hv viapo vingefanyiwa amendment!