obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 525
Mi nikigundua tu mke wangu ananichunguza, naanza tabia feki, wakati mwingine najinyunyizia uturi wa kike ambao huwa nauacha kwenye gari, au najitumia text msg na namba yangu ambayo haijui, yaani namrusha kiroho mbaya hadi aache ushakunanku
Loh! utamuuwa mkeo jaman duuh! hahaha mlio ndoani kazi mnayo aisee!
watu wanajua wame zao malaika sijui kwamba hawatawatenda milele, expectation ndizo zinazowaponza!
they expect alot, ss inavyokuja kuwageuka duuh... wengine hadi wanapata mabonjwa jaman!