hehehehehe nikiangalia huo mdomo na jicho tu hapo kwa avata vinaniambia huko nyumba full mtikisiko.
unajua wenye vibration unawajua tu hata kwa miandiko yao
unanikosha sana MJ1 una maneno kama mdengerekoShost mbio I come aisee. Hebu niondoe kiwinguni!
Maana sie wakati wengine wanawashiwa vibration sie tulikuwa bado tunalilia rangi.
Naja shost
sasa mj1 unataka kuniimage kivipi lolHahaha naomba tuishie kwenye miandiko tu ili nisiharibu imajinasheni yako Zanta hahahah.............
!
sasa mj1 unataka kuniimage kivipi lol
asante my dear kwa ushauri ndo maana nakulike sanaHahaha naomba tuishie kwenye miandiko tu ili nisiharibu imajinasheni yako Zanta hahahah.............
Smile
1. Huyo anayetamani ilhali hatamaniwi yaani kwa kuwa nshajilipua na sikujilipua kwa ajili yake, sitaharibu mlipuko wangu kwa uwepo wake aisee.... nitahakikisha najidengulisha, najitikisisha (lengo si ni kutega?) mpaka ajute kuniangalia. Labda anipige picha na kwenda kuitengenezea appetite aisee.
2. Huyo shost mbona simple tu? Unammwaga aisee
3. Once you are in love Smile, nafasi inapatikana tu!! Watu tunatoroka makazini na sababu lukuki ili tu tuwe na tuwapendao? Hakuna lisilowezekana chini ya mwamvuli wa penzi mdogo wangu. Ukiona hupati nafasi au huoni wapi pa kuchomekea penzi lako basi jua hujapenda bado!
asante my dear kwa ushauri ndo maana nakulike sana
ahahaaa mimi nimeokoka wewe ....full time nipo kwenye upako mimi na bangi mbalimbali...ujue nikimmiss Mbu huwa naugua kabisa...nitatutie tu mbu uone kama sijaponaAksante Smile afu unakumbuka tuna miadi? Nahisi unahitaji kuonana aisee maana siku hizi nahisi unazivuta asubuhi hahahahahahahahahha hayo mahesabu hupati shoti kweli? Maana akili yako siku hizi waijua mwenyewe aisee.
Shost mbio I come aisee. Hebu niondoe kiwinguni!
Maana sie wakati wengine wanawashiwa vibration sie tulikuwa bado tunalilia rangi.
Naja shost
ahahaaa mimi nimeokoka wewe ....full time nipo kwenye upako mimi na bangi mbalimbali...ujue nikimmiss Mbu huwa naugua kabisa...nitatutie tu mbu uone kama sijapona
Hahaaa ngoja niandae vifaa bibie hata vya kuboost mashallah!
siwezi kumchukua hata nampenda tu naturally mzee yule upendo wa kimbingu usio na doa wala tamaaHahahha Smile......Mbu wangu wammiss weye dah! ! Haya bwana kwa umri na uzee wangu huu sina nguvu ya kupambana na damu changa kama yako hahahha ngoja nikulilie tu na wimbo wa Dolly Parton wa "Dollene, Please Dont take my Soulmate from me"
hahahhaha
siwezi kumchukua hata nampenda tu naturally mzee yule upendo wa kimbingu usio na doa wala tamaa
1)namkata bonge la jicho!!msonyoooo.....mpaka ye mwenyewe anaogopa!tena watu kama hao macho yao yanachefua jinsi anavokuangalia kwa tamaa-udenda ukimdondoka!go to hell..
hiyo ya tatu mbona simple..men dont mind to be sex toys!!as long as wewe unajua unachotaka jitaftie wa kujipatia mambo..akijifanya kuleta commitments piga chini..on to the next one!!you are a woman babu..power to you!!