Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijaelewa kabisaaa, nasubiri number yako
ucjali .kupiga chabo ni sehemu ya uanaume hakijaharibika kitu.Hapo wamempendelea mwanamke, hapo kwenye mawazo yake wange wangechora hela, nyumba na gari!
Aah, macho hayana pazia, samahani kwani nimepiga chabo tu!
kina dada wenzangu mnadhani hii inatokea kwa kiwango gani?
let say ktk pair ishirini za wapendanao mnadhani ni ngapi ya ishirini ya wanaume wako kama huyu bwana.
Utajuaje kama mpenzi wako anakuwazia kama huyu kaka anavyomuwazia huyu dada?
Thanks God ingekua hii ni picha ya mim na mpenzi wangu wote tungetokea tunawaza kama huyu dadaanda:anda:anda:anda:
Muwe na week end njema lkn mumuombe Mungu aifanye mioyo yenu na ya muwapendao iwe na nia moja.