hello warembo wa jf, mambo zenu niaje?
Jamani wadada nauliza makeup gani nzuri kwa kwa mtu mwenye ngozi nyeusi? Msaada please, naomba akina King'asti, AshaDii, Kongosho, Mrembo by Nature, madame x, Madame B na wengine wote mnipatie ushauri...... Najua na nina imani wadada wa humu ni warembo mbaya.
Hebu ka ushauri jamani. Mwaah to you all.
Jamani wadada nauliza makeup gani nzuri kwa kwa mtu mwenye ngozi nyeusi? Msaada please, naomba akina King'asti, AshaDii, Kongosho, Mrembo by Nature, madame x, Madame B na wengine wote mnipatie ushauri...... Najua na nina imani wadada wa humu ni warembo mbaya.
Hebu ka ushauri jamani. Mwaah to you all.
Last edited by a moderator: