Mhhhhhhh toba!!
umekuwa mwanamke siku hizi?
tukivishe gauni eeeh.umeambiwa ladies tu na wewe umo tuMhhhhhhh toba!!
tukivishe gauni eeeh.umeambiwa ladies tu na wewe umo tu
Samahani kaka fidels!hAYA libeneke liendeleeUmevuka mipaka
Alafu zote zimeanzishwa siku moja!
Is this a coincidence au ndo ile watu kuwa na ID mbili? Mbona hizi topics mbili zinafanana sana?
1. https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/38967-kwa-wanaume-tu-no-ladies-plz.html
2. Kwa wanawake tu (NO guys pls!) (yaani hii hapa)
Alafu zote zimeanzishwa siku moja!
wewe unajua content ya kila moja?...na kama umefungua zote wewe ni shemale? kwa maana imeandikwa ladies only lakini mnachungulia tu-CURIOSITY AU? USIKUTE WATU WANAPIGA CHABO UKAJIUNGA KUMBE NI......WAKO! TEH TEH! Mada tumeiacha, ingekuwaje kam ndy full kutoboana? du! mungu angepata shida kwa wengine pakutoboa hamna!!
Mi nina swali kwa wale ambao hawapendi 'kujiswafi'.utamkuta binti anapitisha siku mbili haendi kuoga! sasa ukupitie karibu yako au umwombe akusuke nywele kwa ule mkao wa kusukwa jamaniii hiyo harufu itakayo toka hapo ni balaa. sasa nauliza hivi jamani hatukufundishwa kuwa wasafi muda wote au ni makusudi kwa wenye tabia hizo??at the same time labda uko na mzee na unataka akunyonye huko hivi inawezekana jamani? hivi wenye tabia kama hizi wanaishije na wanaume wao!!!??