Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Hapa nimetia maguu kwa mapana, mbali na mkwara wa mtoa mada kua for ladies only.
Mwanaume tutakua ni waangalizi/watunzaji/waleaji/viongozi wa wanawake mpaka mwisho wa dunia.
Hivyo msituwekee mipaka katika yanayowahusu.
Tunalazimika kuingia ktk faragha zenu zozote zile.
Hapa nawaachieni wosia mmoja tu, kwamba mjaribu kureduce artificial materials.
Mfano Sidiria mnazovaa faida yake nini ?
Sanasana ni kuunyanyua Mtindi uliokwisha kua more advance!
Kama Tindi limeshadondo ndiyo limedondoka tu!
Unapolinyanyua huoni ni kujidanganya mwenyewe? Na kuwadanganya wanaume?
Toshekeni na matokeo ya wakati .
Mwanaume tutakua ni waangalizi/watunzaji/waleaji/viongozi wa wanawake mpaka mwisho wa dunia.
Hivyo msituwekee mipaka katika yanayowahusu.
Tunalazimika kuingia ktk faragha zenu zozote zile.
Hapa nawaachieni wosia mmoja tu, kwamba mjaribu kureduce artificial materials.
Mfano Sidiria mnazovaa faida yake nini ?
Sanasana ni kuunyanyua Mtindi uliokwisha kua more advance!
Kama Tindi limeshadondo ndiyo limedondoka tu!
Unapolinyanyua huoni ni kujidanganya mwenyewe? Na kuwadanganya wanaume?
Toshekeni na matokeo ya wakati .