nw eca
Member
- Jan 10, 2014
- 20
- 4
Chukulia ya kwamba wewe ni mama wa watoto 5, mtoto wako wa 1 yupo chuo na wa mwisho hata kuongea bado, na unampenda mumeo(mmefunga ndoa). Cku moja ukaja kugundua ya kwamba mumeo miaka 16 iliyopita alitoka nje na mtoto aliepatikana yupo mpaka sasa hv pamoja na *****.
Je, utakua hatua gan dhid ya mumeo ukiangalia miaka ya nyuma uliangaika sana juu ya mumeo. Hebu toa maon yako ungekuwa wewe ndio mama ungefanya nn, kumuacha mumeo au? Mwaga manyanga yako hapa
Je, utakua hatua gan dhid ya mumeo ukiangalia miaka ya nyuma uliangaika sana juu ya mumeo. Hebu toa maon yako ungekuwa wewe ndio mama ungefanya nn, kumuacha mumeo au? Mwaga manyanga yako hapa