Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Naanza kwa angalizo kwamba habari hii haikulengwa kwa wanawake wote katika ujumla wao, bali kwa wale maalumu waliojikita ktk tasnia ya kuuza miili yao, iwe kwa kujikimu au kwa tamaa tu ya "pepo la ngono".
Aidha nimefanya yakinifu upembuzi na nikashindwa kuelewa vema kua ni kipi bora kwa walengwa hawa, kwani wanauza rasilimali uke kwa malengo ya kupata pesa!.
Ambapo wanunuzi wanatumia rasilimali pesa kununua uke!.
Vinginevyo kama uke ni valiable ama permanent fixed asset, then perishable, portable e.c.t ni kwa vipi basi tusingekua tunashuhudia baadhi ya wakati walengwa wanakua donors kwa wanaume ambao ni refugees ama wanaume waliokua ktk mazingira magumu kama vile wafungwa wakawa wanaenda kuwapa huduma ya ngono bure (hospitality). Kwa kua hilo ni gumu kwao kulifanya ndiyo kusema bidhaa hii itaendelea kua biashara "nipe nikupe" je? Ni kwa vipi basi wasiwe na mpango maalumu wa kuitunza bidhaa "valiable" isitumike kibiashara kwa ajili ya kuepuka depreceation?
Aidha nimefanya yakinifu upembuzi na nikashindwa kuelewa vema kua ni kipi bora kwa walengwa hawa, kwani wanauza rasilimali uke kwa malengo ya kupata pesa!.
Ambapo wanunuzi wanatumia rasilimali pesa kununua uke!.
Vinginevyo kama uke ni valiable ama permanent fixed asset, then perishable, portable e.c.t ni kwa vipi basi tusingekua tunashuhudia baadhi ya wakati walengwa wanakua donors kwa wanaume ambao ni refugees ama wanaume waliokua ktk mazingira magumu kama vile wafungwa wakawa wanaenda kuwapa huduma ya ngono bure (hospitality). Kwa kua hilo ni gumu kwao kulifanya ndiyo kusema bidhaa hii itaendelea kua biashara "nipe nikupe" je? Ni kwa vipi basi wasiwe na mpango maalumu wa kuitunza bidhaa "valiable" isitumike kibiashara kwa ajili ya kuepuka depreceation?