ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Chukulia kuwa wewe ni miongoni mwa wanawake 'waliotendwa' tena kwa sana tu na zaidi ya mwanaume mmoja. Sasa una hamu sana ya kumpata mwanaume mwenye sifa na matendo uyapendayo na yakupayo raha kamili ya mapenzi. Hauko tayari kumkosa coz ikitokea hivyo hutapata mwingine na hutoolewa milele.
Kwamba imewekwa sheria ili uweze kumpata huyo 'man of your dream' lazima kwanza wale wote waliokutenda waangamizwe na kupotea duniani-yaani wafe-kwa kuoba Mungu atekeleze hilo naye atalifanya na kukupatia mwanaume wa ndoto yako. Kwa kuwa amependa kuwa na huyo mtu, nawe uko tayari kutimiza hilo sharti ili umpate.
Hebu niambie kutoka moyoni mwako. Unadhani utakapoamua kuomba/kutimiza hilo sharti, hivi ni wanaume wangapi wataangamia/watpoteza maisha yao pindi utakapomaliza sala yako? Kuwa wazi tu kutaja idadi halisi ya watakaopoteza maisha. Wajumuishe hata wale wa primary na sekondari.
Nawasubiria hapa hapa!
Kwamba imewekwa sheria ili uweze kumpata huyo 'man of your dream' lazima kwanza wale wote waliokutenda waangamizwe na kupotea duniani-yaani wafe-kwa kuoba Mungu atekeleze hilo naye atalifanya na kukupatia mwanaume wa ndoto yako. Kwa kuwa amependa kuwa na huyo mtu, nawe uko tayari kutimiza hilo sharti ili umpate.
Hebu niambie kutoka moyoni mwako. Unadhani utakapoamua kuomba/kutimiza hilo sharti, hivi ni wanaume wangapi wataangamia/watpoteza maisha yao pindi utakapomaliza sala yako? Kuwa wazi tu kutaja idadi halisi ya watakaopoteza maisha. Wajumuishe hata wale wa primary na sekondari.
Nawasubiria hapa hapa!