Nenda love connect, kuna uzi nimetuma ya kuomba uchumba kule... utapata jibu
hongera sana dearest kwa hatua kubwa,tutafuata nyayo zako....goodluck....l.o.l:dance::dance:
mmhhh,you two match.....made in heaven....go dearest....lolest....9t 9t ,sweetdreams!!!:A S-rose:Mpenzi nakusihi nenda sasa hivi love connect ....lol...:car:
mmhhh,you two match.....made in heaven....go dearest....lolest....9t 9t ,sweetdreams!!!:A S-rose:
hee mi pia nipo strong my dia bt the mst of all i got skills za mambo ye2 ingawa im only 22
Sio choo cha Rais?maana cha kike siku hizi hata midume mingine inaingia bila haya kupaka wanjaDah! kumbe nimeingia choo cha kike ngoja nichuchumae kabla hatujagongana na ASHA D
Duh! hii ndo nasikia kwako huku kwetu sijaona mwanaume anajipodoa.Sio choo cha Rais?maana cha kike siku hizi hata midume mingine inaingia bila haya kupaka wanja
nina maana yangu nlipo sema yoyote sijakulupuka.
ndio namtaka kimapenzi. Ndonga naweza toa vigezo kibao na atajitokeza m2 ata sema yeye anavyo lakini je mimi ntakua navigezo anavyo taka yeye?
22+22= mmmmmmhhhhh
unanitaka kweli dahhhh
Na weza kuwa dad aako mkubwa
labda hata mama..
embu badilisha hiyo yeyote...
maana ina maelezo mengi na mengine si mazuri..
usijishushe kiasi hicho..
asante mtoto mzuri