funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Naomba kuuliza kwa w/ume hasa waliooa
Sisi uwa hatuna vitu kama kitchen Party za kufundishwa, Je tuishije na hawa wenzetu?
1. Kwa kumpa uhuru m/mke wa kupanga mambo yote ya kifamilia?
2. Mwanaume kuwa ndie sauti ya mwisho katika familia?
3. Mfumo wa kidikteta (baba akisema ndio linalofuata na hamna kupinga)
4. N.k (mifum mingine)
hebu tujadili hapa ni mfumo gani mzuri wa kuishi na hawa wenzetu maana ukimpa mamlaka sana tatizo, ukimnyima mamlaka tatizo tufanyeje?
Sisi uwa hatuna vitu kama kitchen Party za kufundishwa, Je tuishije na hawa wenzetu?
1. Kwa kumpa uhuru m/mke wa kupanga mambo yote ya kifamilia?
2. Mwanaume kuwa ndie sauti ya mwisho katika familia?
3. Mfumo wa kidikteta (baba akisema ndio linalofuata na hamna kupinga)
4. N.k (mifum mingine)
hebu tujadili hapa ni mfumo gani mzuri wa kuishi na hawa wenzetu maana ukimpa mamlaka sana tatizo, ukimnyima mamlaka tatizo tufanyeje?