BASHADA
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 513
- 148
Kwa wanaume, Hivi inakuwaje, inapotokea msichana anapokutokea akakuomba namba kwa sababu za kimsingi, (MASUALA YA KAZI, BIASHARA, ETC.) baadaye anaanza kukutext msg za ajabu ajabu. Baada ya muda mfupi unakuta wako kibao wanaokutext msg ambazo kwa kweli huelewi, mwishowe anakutamkia anakupenda, and lastly unakuta wako kama 20 au 30 kila moja anakutamkia kuwa anakupenda. Ukweli unataka umpate mmoja sasa hapo utafanyaje? af Wote wazuri. Vigezo gani vitumike kuchagua?