giningi
Member
- Jun 12, 2011
- 52
- 27
enyi wanaume wenye nyumba ndogo,nawashauri kuwa,mnapoamua kuzaa na hao nyumba ndogo zenu,jitahidini kwenda kupima DNA baada ya mtoto kuzaliwa la sivyo mnatunza watoto wa wenzenu! kama hamjui hizo nyumba ndogo zenu na zenyewe zinawaita nyumba ndogo kwa sababu zina nyumba kubwa,wengi wenu mnalizwa! nawasilisha:yell: