Kwa wanaume wasiopenda kuchunwa

Kuna rafiki yangu baada ya kuhisi anatepeliwa na demu akaamua kupanga siku aende na demu wake mkono kwa mkono mpaka kwa dokta ili waitoe, demu alivyojua wateondoka na msela, ikabidi yule demu acheze dili na yule dokta kwamba apokee zile hela halafu wagawane.
Jamaa kufika demu wake, dokta akasema ni kweli na anatakiwa atoe hela, ikabidi msela ajikamue atoe.
Jamaa kuja kugundua aliingizwa mkenge alichoka, anakwambia wanawake si watu.

na mbunye alipigwa na doctor. Chezea co wewe!!
 
sijakuelewa mkuu kwani wewe unatoa sh ngap?? yab\n hal ya maisha unasema 120 ni ndogo au na wewe ni gamba???

sasa hujaelewa nini? yaani wewe unataka ukamgaragaze mtoto wa watu, halafu umpe shs elfu tano.... si utumie revola tu sasa kama unaona kutoa pesa anayohitaji utapata hasara
 
akija na rafiki yake nampotezea najifanya nimepata emergency then nampa buku ya nauli na samahani nyingi then nasepa kama noma na iwe

:biggrin1: aisee umenipa idea nzuri sana ole wao wanifanyie huu mchezo tena
 
wengine wanajua kabisa umetumia condom lakini bado asisitiza ana mimba yako
ukimwambia umepima hospitali gani atakutajia jina hulijui
ukimwambia kuna docta wako umpelelke akapime anakuja na ishu nyingine
matangazo ya condoms hamyasikii
 
Kutokana na ugumu wa maisha na ukame wa hali ya juu ktk vipima joto vya akina dada zetu, na waombapo msaada kwa mabasha zao hutoswa, hivyo wamegundua mbinu mpya ya kujipatia mkwanja mrefu kutoka kwa mabasha zao. Ifuatayo ndio mbinu husika;

demu anakuvizia umgonge, ukishamgonga anakaa wiki anaanza kukuletea story "oooh! Dear mi sizioni siku zangu, nahisi nina mimba", kesho yake anakwambia "nimeenda kupima nimeambiwa nina mimba, sasa dear utanisaidiaje ile hali unajua mi ni mwanafunzi? Au ni mfanyakazi ila kazini kwetu huruusiwi kubeba mimba mpa utimize miaka 3 ktk kazi kinyume na hapo unafukuzwa kazi. Kwa hiyo mi nataka niitoe hivyo naomba hela." ukimuuliza ni kiasi gani anakwambia 120,000/=. Kwa woga wa kuogopa kufungwa au kumuaribia maisha inabidi uitafute hiyo hela popote umpe. Kumbe hana mimba wala nini, ndo umetapeliwa hivyo mwanaume!
Je, umeshawahi kukutana na tukio kama hili?
Hivi we matangazo yoooooote hayo ya kinga hujayasikia?
 
Hivi sijajua ni jukumu la nani kugharamia utoaji wa mimba? Mwanaume, mwanamke au nusu kwa nusu?
 
Sijakuelewa unamaanisha nini?
Do you support uchunaji?
At the same time ur worried with HIV prevalence..
Amua moja..

Namshukru Mungu haijawahi kuwa tabia yangu na wala sisapoti kuchunwa.Ila kama wanafuata watoto wadogo unatakaje na watoto wa siku hizi walivyo na tamaa?Akitaka kuchuma sharti apalilie.Halafu hii habari ni ya kweli kuna mkaka mwaka jana alinihadithi ye ameoa akatoka na bint wa chuo flani baada ya week 3 binti akadai laki 3 akatoe mimba anasema aliituma haraka manake mke wake aliwahi kumfumania akapasua vioo vya gari na tangu hapo hataki wanachuo.So ninasupport in the sense that watawadisciplne
 
Ni ujinga ku-doo bila kinga. Wacha aibiwe tu Kama hataki toa matumizi? Au anataka chovya bure?
 
Kutokana na ugumu wa maisha na ukame wa hali ya juu ktk vipima joto vya akina dada zetu, na waombapo msaada kwa mabasha zao hutoswa, hivyo wamegundua mbinu mpya ya kujipatia mkwanja mrefu kutoka kwa mabasha zao. Ifuatayo ndio mbinu husika;

demu anakuvizia umgonge, ukishamgonga anakaa wiki anaanza kukuletea story "oooh! Dear mi sizioni siku zangu, nahisi nina mimba", kesho yake anakwambia "nimeenda kupima nimeambiwa nina mimba, sasa dear utanisaidiaje ile hali unajua mi ni mwanafunzi? Au ni mfanyakazi ila kazini kwetu huruusiwi kubeba mimba mpa utimize miaka 3 ktk kazi kinyume na hapo unafukuzwa kazi. Kwa hiyo mi nataka niitoe hivyo naomba hela." ukimuuliza ni kiasi gani anakwambia 120,000/=. Kwa woga wa kuogopa kufungwa au kumuaribia maisha inabidi uitafute hiyo hela popote umpe. Kumbe hana mimba wala nini, ndo umetapeliwa hivyo mwanaume!
Je, umeshawahi kukutana na tukio kama hili?

mungu anatauasa juu ya kuua,kutoa mimba ni uuaji pia,mwanaume ukitoa pesa kwa ajili ya kutolea mimba jua umeshiriki katika kuua.
 
wanaume acheni ubahili 120,000 akienda kununua sabuni za kuogea, lotion na ped imeisha, akija mchafu mtasema lol mpendezeshe mtu wako, vilivyopendezeshwa ni hatari. hata kama unatumia condom umpe kama mpenzi sio kwasababu amekuruhusu kulala nae.
 
Mimi iliwahi kunikuta ila si kwa mwanafunzi. aliponiambia tu kuwa ni mjamzito nikamwambia twende hospitali tukapime ili apewe ushauri wa daktari akawa ananichenga mara hajapewa ruhusa, mara dada hana mtu wa kubaki nae visingizio vikawa vingi. nikimsisitiza twende hospitali ananichenga, ikafikia wakati akaniambia kuwa anataka kuitoa hiyo mimba nikamwambia asiitoe hadi hapo tutakapoenda kupima hospitali
Ila kiukweli kipindi naambiwa kuwa ni mjamzito vishilingi 50,000 vilikuwa vinakuwa vinanitoka kiulaini coz anadai alikuwa anadai kuwa anabagua vyakula ila mwezi mmoja baadae aliniambia kuwa hakua na mimba ila alitaka kunipima tu.
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom