Kutokana na ugumu wa maisha na ukame wa hali ya juu ktk vipima joto vya akina dada zetu, na waombapo msaada kwa mabasha zao hutoswa, hivyo wamegundua mbinu mpya ya kujipatia mkwanja mrefu kutoka kwa mabasha zao. Ifuatayo ndio mbinu husika;
demu anakuvizia umgonge, ukishamgonga anakaa wiki anaanza kukuletea story "oooh! Dear mi sizioni siku zangu, nahisi nina mimba", kesho yake anakwambia "nimeenda kupima nimeambiwa nina mimba, sasa dear utanisaidiaje ile hali unajua mi ni mwanafunzi? Au ni mfanyakazi ila kazini kwetu huruusiwi kubeba mimba mpa utimize miaka 3 ktk kazi kinyume na hapo unafukuzwa kazi. Kwa hiyo mi nataka niitoe hivyo naomba hela." ukimuuliza ni kiasi gani anakwambia 120,000/=. Kwa woga wa kuogopa kufungwa au kumuaribia maisha inabidi uitafute hiyo hela popote umpe. Kumbe hana mimba wala nini, ndo umetapeliwa hivyo mwanaume!
Je, umeshawahi kukutana na tukio kama hili?
demu anakuvizia umgonge, ukishamgonga anakaa wiki anaanza kukuletea story "oooh! Dear mi sizioni siku zangu, nahisi nina mimba", kesho yake anakwambia "nimeenda kupima nimeambiwa nina mimba, sasa dear utanisaidiaje ile hali unajua mi ni mwanafunzi? Au ni mfanyakazi ila kazini kwetu huruusiwi kubeba mimba mpa utimize miaka 3 ktk kazi kinyume na hapo unafukuzwa kazi. Kwa hiyo mi nataka niitoe hivyo naomba hela." ukimuuliza ni kiasi gani anakwambia 120,000/=. Kwa woga wa kuogopa kufungwa au kumuaribia maisha inabidi uitafute hiyo hela popote umpe. Kumbe hana mimba wala nini, ndo umetapeliwa hivyo mwanaume!
Je, umeshawahi kukutana na tukio kama hili?