If u r she, may be huyajui. Lakini yapo. Utakuta demu ulikuwa ukimdrive craze lakini ghafla mambo yanabadilika na akikohoa kidogo, unaitika rabeka! Ujue kwishne.Heshima yako mkuu,hapo kwenye red hapo naona hakuna busara kabisa.....Nakuheshimu kiongozi.