kanyaga sawasawa mkuu........................, alafu funga viooooooooooooooo kama kawa
Limbwata liko kila mahali sema tu kila kabila linaita jina lake.........Muulize BishangaDuh Mtambuzi sisi "MIJITU YA BARA" hatujui LIMBWATA bwana nyie wa Tanga ndio mwaijua.TE TE TE TE.Umeniacha hoi MTAMBUZI mwenzio naangalia Germany VS Italy
Kuna sista falan nw anagonga kama 33yr alichagua sana enzi akiwa 20s nayey alikuwa anapga wanaume fukara vbuti vya wazi kuwa awana hadh ya kuwa nae.kuna jamaa yupo wizar ya fedha nw alpata msichana waliependana wakati yupo kwenye process za ndoa ikiwa bado kama miez 4 akakutana na huyu sister du,dada kapewa lift anajichekesha jamaa kamkumbushia kuwa bado anampenda japo alimkataa, dada c kaingia line jamaa kam mega na ahadi ya ndoa kashapewa cku gafla anapokea message ya mwaliko wa arusi ya jamaa mbona dada alipelekwa regency coz presha ilipanda na kushuka kama rejeta ya fiat inavyochemsha.
Naomba kuwauliza!hivi tuchukulie kwamba katika kipindi cha nyuma wakati bado labda uko shule au chuon kuna dada ambae uliwahi kumpenda lakini kutokana na hali yako duni akakukataa,ila sasa baada ya shule unajipanga vzr kimaisha na baada ya muda unafanikiwa kuzikamata pesa,yule dada ndio anaanza kujipendekeza kwako.utamchukuliaje?
Mmoja yuko hapio UDSM kanikwepa tangu niko A'level Tabora Boys, napata shavu anatangaza njaa eti kamtema jamaa yake. Nikatoa neno la kishujaa kaingia miguu miwili, nikazabua mchana usiku. Asubuhi talaka na biti, leo ni almost mwaka umepita......
Na kula na condom alaf na sepa
Mnatudhalilisha kwa kweli,kwani ni wanawake tu wanapenda pesa kuna watu wanamapenzi ya dhati
Mnatudhalilisha kwa kweli,kwani ni wanawake tu wanapenda pesa kuna watu wanamapenzi ya dhati