Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Hii ni kwa ume za watu tu au Madume wote?watu wazima ovyo my dia eti wkend twende wapi?mi mkewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kwa ume za watu tu au Madume wote?watu wazima ovyo my dia eti wkend twende wapi?mi mkewe?
asi ungempasha live
au ana id umu jf?
naona km vilemsuto wa klinik umeupeleka benk......TAFAUT....mfate.mpashe.....cha kukuarbia contact yahuu? uchange namba kwa ajili ya gume gume? tel him liveastop ***** akijifanya mbishi we tafuta sahihi mbili tu moja yako moja ya mke wake then mumtoe madarakan..:shut-mouth:
Ulimwambia lakini, sidhani kama anakuja humu jamvini. Ungempa za uso kuliko kubadilisha no, utabadilisha mara ngapi?
tunaishi nae compound moja ana mke
sina muda nao kabisa kabisa
one day nikatoka kwenda shop akaniomba no maana linaweza kutokea tatizo kama jirani tusaidiane nikampa
from there kila siku ananipigia,ananiuliza kuhusu love affairs zangu,anataka tukae mahali tuongee.
nimechange no kwa ajili ya mpuuzi yule
kiukweli
sipendi kabisa urafiki na mume wa mtu sipendi..... sio huyu tu woote
tulieni na wake zenu tulieni
wkendi njema tulieni na wake zenu. acheni unafiki
pili
ni wkend mdada kakaa sehemu kutuliza kichwa hataki usumbufu, nyie wanaume mnaanza kusumbua .... ooh dada nikae hapa ? naruhusiwa ? wakati eneo ni kubwa na nafasi zipo zimejaa
kwanini lakini? mbona sisi hatuwasumbui? mbona sisi hatuwafati ...tuache kusumbuana
wkend njema