Kwa Wanaume tu: Tunapoamua Kujenga Nyumba Ndogo

Chanzo cha "Nyumba ndogo" ni tamaa, pia ni hali ya kutoridhika ya kile unachofanyiwa au tendewa na mkeo na ndio husababisha haya yoote
 
Kodi ya nyumba imekwisha unakuta mzee hajatia maguu miezi kama 4 hivi kumbe kapata nyumba kiduchu ingine
Patashika nguo kuchanika!..ila nyumba ndogo juu ya nyumba ndogo lazima usahau kulipa kodi, ila kama kodi haijalipwa si asubirie huko huko? Anakujaje nyumbani kwangu?..
 
Chanzo cha "Nyumba ndogo" ni tamaa, pia ni hali ya kutoridhika ya kile unachofanyiwa au tendewa na mkeo na ndio husababisha haya yoote

Evarm...sijajua jinsia yako BUT unaamini kuwa zipo? una experience ye yote ya unazozifahamu?
 
Patashika nguo kuchanika!..ila nyumba ndogo juu ya nyumba ndogo lazima usahau kulipa kodi, ila kama kodi haijalipwa si asubirie huko huko? Anakujaje nyumbani kwangu?..

Hivi hata tukichukulia dhana ya Mke mdogo...

bado ninaamini kabisa kwa mfano wa mababu zetu, wale ambao kwao Dini ilikuwa bado, kuwa hakukuwa na namna ambayo mke mdogo anakuwa na umri mkubwa kuliko mke mkubwa...simply because mara nyingi alikuwa anaolewa baada ya mke mkubwa kuwa ameshaolwa zamani na labda ana watoto

Ninachojaribu kujiuliza ni kama kuna the same trend nowadays........? SL babu ODM yuko wapi saa hizi?
 
Kaizer kumbe una nyumba ndogo?!! mweeeh

anyway, sanasana wanaume wanapunguza protini zao kwa hizo nyumba ndogo hamna la zaidi..ni ku-sex tu na kuonyesha sarakasi zao!!

Oops! sorry, kumbe ni only for men!!
 
thanks thats very logical....ungekuwa na wewe ni mwanaume ungeangalia vitu vipi katika kujenga hiyo ndogo maadamu kubwa ipo......eeh

ningeangalia ninavyovikosa kwenye nyumba kubwa. Kaizer unanitisha ujue.
 
Kaizer kumbe una nyumba ndogo?!! mweeeh

anyway, sanasana wanaume wanapunguza protini zao kwa hizo nyumba ndogo hamna la zaidi..ni ku-sex tu na kuonyesha sarakasi zao!!

Oops! sorry, kumbe ni only for men!!


hahaha..BJ my dear

Ninayo eeh kwa nini niseme uongo...lol (Don't take JF too seriously)

Ila ya kwangu ni ndogo kweli....yaani kadogo dogo ivi..bado kabichi bichi hata plaster haijakolea vizuri so ujenzi unaendelea (finishing)

afu niharakishe kusema kuwa kupunguza protini ni kuzuri kwa afya....protini nyingi mwilini zina madhara....
 
afu mkimaliza huu mjadala muunganishe kujadili scenario ya nyumba ndogo inapokua promoted to nyumba kubwa:
1 itaendelea ku-behave ama nyumba dogo ama taweka mikono mbele kama nyuba kuba?
2 je kutakua na haja ya kuwa na nyumba ndogo nyingine kwa maana ya ku-occupy orbital iliyokuwa wazi?
nawashukuru wanaume wote waliochangia pamoja nami, sweetlady,mj1 et al
 
Hivi hata tukichukulia dhana ya Mke mdogo...

bado ninaamini kabisa kwa mfano wa mababu zetu, wale ambao kwao Dini ilikuwa bado, kuwa hakukuwa na namna ambayo mke mdogo anakuwa na umri mkubwa kuliko mke mkubwa...simply because mara nyingi alikuwa anaolewa baada ya mke mkubwa kuwa ameshaolwa zamani na labda ana watoto

Ninachojaribu kujiuliza ni kama kuna the same trend nowadays........? SL babu ODM yuko wapi saa hizi?
Siku hizi hawafwati hayo ya zamani, utakuta mtu ana kamke kake kaduchu kwa umri na umbo pia afu nyumba ndogo hilooo, bonge la mama yan mkubwa kwa umbo na kwa umri. ODM anawaita 'mashankupe'.. Kaizer ODM katoroka coz amevunja sheria za jf, amefanya 'name calling' anasubiri PAW asahau kwanza ndo atarudi.
 
Back
Top Bottom